Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,254
ITV kibwagizo chenu cha Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika mmekua mkituonesha Magufuli kuwa ndiye Rais! Niwakumbushe Rais ni Samia Suluhu Hassan hivyo wekeni sehemu ya hotuba zake na si za Magufuli.