yanga bwana
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 300
- 47
Kituo cha ITV leo kimeushangaza umma wa watazamaji wake kwa kitendo cha kutangaza habari za chama kimoja wakati matukio ya vyama vyote yanafanana. Tunapenda kuuambia uongozi wa ITV utambue kuwa vyama vyote vina haki ya kutangazwa habari zake ili Watanzania waweze kuzipata. Ni imani yetu kituo hicho kitatuomba radhi watazamaji wake ambao tulitegemea kupata habari hizo kupitia ITV.