Lakini pia ningependa hao Wazuri waulizwe maswali magumu; sio wawe wanabembea na Magari ya kifahari tu kivulini
Unajua hawalijui JUA LA DAR-ES-SALAAM lilivyo kali toka 1985 Nyerere alipostaafu; wao ni kuku kwa Mrija na kucheki
Accounts zinavyoongezeka USWISI; we must hold them accountable some how...