Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Jamani ninaangalia live ITV kupitia laptop yangu .Yaani picha ni hafifu watu hawaonekani vizuri.TV yenye mmiliki wa jumba nililoliona Machame jana ni aibu.
IPP MEDIA uzeni basi hata lile Jumba mnunue camera zenye ubora.AZAM kwenye live wakiwa wanashoot wenyewe picha zao ni high quality.Waulizeni wanatumia camera gani mkanunue.R.I.P Mzee Mengi.
IPP MEDIA uzeni basi hata lile Jumba mnunue camera zenye ubora.AZAM kwenye live wakiwa wanashoot wenyewe picha zao ni high quality.Waulizeni wanatumia camera gani mkanunue.R.I.P Mzee Mengi.