Hongera DOGO! Ndoa ni Mungu mwenyewee anatupa na hasa mnapo match katika masuala yenu ya ndani na kujenga familia yenye upendo! Mimi namuomba sana Mungua nipe uzima, kwani Novemba hii na-clock 20 yrs na darling wangu! Hatujawahi kwenda kwa padre wala kwa mshenga! Sijawahi kumrushia ngumi