Amini usiamini baada ya ziara ya lowasa,bunge litaanza kurushwa laivu na sukari itapatikana,wafanyakazi wataacha kutukanwa,pesa itaonekana mtaaani......njoo leigwanani njooo uwaonyeshe utawala bora....sukari elfu nane leigwanani usikae kimya..
Amshaamsha ianze sasa