Itakua ngumu ku-install app nje ya Play Store mwaka 2026

Itakua ngumu ku-install app nje ya Play Store mwaka 2026

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
1_20250901_121613_0000.png


๐Ÿ’ญ Inawezekana ikawa Habari mbaya kwako wewe developers au mtumiaji wa Simu za Android ambaye unapenda ku install apps nje ya soko la play store.

๐Ÿ’ญ Kupitia tovuti ya Android developers blogs, Google wametangaza Sheria mpya kwa watumiaji wa vifaa vya Android ulimwenguni, Google Wana mpango wa kuzuia watu ku install apps toka nje ya soko la play store kupitia mfumo wa sideloading.

2_20250901_121613_0001.png


๐Ÿš€ Sideloading ni ule mfumo wa watu kuweza ku install apps Mbalimbali kwenye Simu za Android bila kupitia kutumia program ya Google play store hivyo unatumia Google searches (browser yoyote).

๐Ÿ’ญ Ikiwa wewe ni developers na kama app Yako haiko kwenye soko la play store inakupaswa Google wakutambue. Google hawataangalia app Yako inafanyaje kazi Bali itakupa google wakutambue ili kuweza kuruhusu app Yako kutumika kwenye vifaa vya Android.

3_20250901_121613_0002.png


๐Ÿ’ญ Lengo kubwa Google ni kuwalinda watumiaji wa vifaa vya Android dhidi ya apps hatarishi kwenye vifaa vyao ili kuwa salama, mfumo huo utaanza kufanya Kazi kuanzia Mwezi oktoba mwaka huu 2025 ila Mpaka kufikia mwaka 2026 na 2027 utaachiwa ulimwenguni kote.

#google #android #bongotech255
 
Back
Top Bottom