It' Official! Volkswagen is the world's largest car maker!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Pamoja na misuko suko yoote iliyopata Kampuni ya kuunda magari ya Volkwagen yenye makao yake makuu kwenye Mji wa Wolfsburg nchini Ujerumani, imechukuwa nafasi ya kwanza kama Kampuni kubwa kabisa Duniani ya uundaji wa magari Duniani, nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Toyota baada ya kumuondoa General Motors (GM), hivyo sasa hivi 1.VW 2.Toyota 3.GM!
VW imeuza magari milion 10.3!


Kampuni ya Volkwagen ambayo iliasisiwa na Adolf Hitler inaunda magari yafuatayo;
VW
Audi
Porsche
Bentley
Lamborghini
Škoda
Seat
MAN na Scania (Malori na Mabasi)

Adolf Hitler muanzilishi wa Kampuni ya Volkswagen!
Bundesarchiv_Bild_183-H06734%2C_Grundsteinlegung_f%C3%BCr_Werk_des_KdF-Wagens.jpg




Volkswagen has reclaimed the crown from Toyota as the world’s largest carmaker by sales as the German carmaker overcame brand damage from the diesel emissions scandal.

The Japanese car group, which also includes its Daihatsu and Hino subsidiaries, said on Monday that its global sales rose 0.2 per cent to 10.2m vehicles in 2016. That fell short of the 10.3m vehicles sold by VW, which also owns the Audi, Porsche, Skoda and Bentley brands.

The end to Toyota’s four-year reign came as the company faces fresh challenges in the US, where President Donald Trump has criticised the Japanese car industry and Toyota in particular for its investment in Mexico.

The company responded with a promise to invest $10bn in the US over the next five years and announced last week that it would add 400 jobs at its plant in Princeton, Indiana.

Toyota, which also makes the Lexus brand, overtook General Motors in 2008 to become the world’s largest producer of cars. It briefly lost the title in 2011 in the wake of the Tohoku earthquake and tsunami, but regained it the following year.

VW’s attempts to overtake Toyota were hamstrung after its sales were hit by the emissions scandal, which became public in September 2015. Up to 11m vehicles worldwide were fitted with the “defeat devices” to reduce their nitrogen oxide emissions in laboratory tests.

But the company has continued to perform strongly in China, where sales rose 12 per cent to almost 4m vehicles last year.

Analysts say sales in the world’s two largest car markets — the US and China — will continue to be a critical factor as VW tries to maintain its lead over Toyota in 2017.

With US car sales seen to be nearing their peak, Toyota is expected to grapple with a broader slowdown in vehicle demand as well as pressures from the US president to boost spending and manufacturing in the country.

The Japanese carmaker has said it expects global sales to remain flat at 10.2m vehicles this year as the company focuses on steady profits rather than pursuing breakneck expansion of sales.

“The question is how much Toyota can maintain sales in China as the growth rate declines and how much it can hold steady in the US as the market peaks out,” said Masahiro Akita, analyst at Credit Suisse.

VW also faces its own challenges, with sales in China expected to slow after consumers rushed to purchase vehicles at the end of last year before the expected expiration of tax breaks on small cars. Chinese authorities have since decided to extend the tax breaks in 2017, but analysts say that VW and other carmakers are unlikely to match last year’s strong China results.


chanzo: financial Times!

 
Scania ya Sweden ipo chini ya Vw...Vw wanazo truck zao ila sio Scania umechanganya vitu tuu hapo...
VW wana mikono karibu kila kampuni ya magari hao Man na Scania mda mrefu tu VW wana hisa zao umo, Af apo kwenye list ongeza Bugatti Veyron ni entirely ya VW Das Auto.
 
View attachment 465393
Mkuu naomba moyo wako pia uulekeze kwa hawa jamaa wanaitwa Volvo, ndo Loli pekee lenye Engine ya 750 Horse Power, bila kusahau ule mfumo wetu pendwa wa Dynamic Steering wanao volvo pekee
mkuu mbona kibongo bongo haya ma Volvo hayapo sana sokoni, huku naon tumekua addicted na Scania, nipe siri.
 
mkuu mbona kibongo bongo haya ma Volvo hayapo sana sokoni, huku naon tumekua addicted na Scania, nipe siri.
Volvo waliliwa timing kwenye marketing, soko lao lilijali ulaya tu, wakati scania wana dealer wao official ata wa magari ambayo ni used kote dunia bila kujali ni africa au wap. ndo vile tu mkuu.
 
Volvo waliliwa timing kwenye marketing, soko lao lilijali ulaya tu, wakati scania wana dealer wao official ata wa magari ambayo ni used kote dunia bila kujali ni africa au wap. ndo vile tu mkuu.
sure..
apo nimekusoma vizur sana
 
They own the brands, but the companies continue to work rather independently


Unamaanisha nini unaposema they own a brand? Scania inamilikiwa na VW 100% hivyo hata mauzo yake yanakwenda VW Group!
 
Safi sana. JF inatakiwa tunaelimishana bila kejeli, matusi na dharau kwenye kila mada. Mada nimeipenda.
 
Back
Top Bottom