Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2022 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Hela imeenda kumsaidia kulipia wanasheria Daudi bashite arudishiwe kiwanja chake alichoibiwa na madhulumati kiasi kinachobaki kitalipa teams 14 zilizotapeliwa kuvaa nembo bure kwenye bega kwa miezi kadhaa
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2022 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Badala ya kuulizia SGR ambayo itakusaidia kufika kijijini kwenu kwa uharaka na kuleta mahindi yako sokoni unahangaika na uwanja wa simba ambao hata haukusaidii
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Badala ya kuulizia SGR ambayo itakusaidia kufika kijijini kwenu kwa uharaka na kuleta mahindi yako sokoni unahangaika na uwanja wa simba ambao hata haukusaidii
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.