Israel yawadunga sindano za sumu Wapalestina.

Israel yawadunga sindano za sumu Wapalestina.

Status
Not open for further replies.

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,073
Reaction score
34,844


Israel yawadunga sindano za sumu Wapalestina.

Askari magereza wa utawala wa Kizayuni wa Israel huwadunga sindano zenye virusi hatari mateka Wa

kiislamu wa Kipalestina kabla ya kuwaachilia huru. Duru za habari zinasema kuwa, Waislamu hao wa

Kipalestina hudungwa sindano zenye virusi vyenye maradhi ya saratani ya tezi ya kibofu na ini, na baada ya

muda mfupi hufariki dunia. Wakati huohuo, Wafungwa hao wa Kipalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za


utawala haramu wa Israel wamemuandikia barua Kafiri Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel na

kumtaka utawala wake uwatambue rasmi kuwa wao ni mateka wa kivita wa kiislamu. Hivi sasa kuna


Wafungwa zaidi ya elfu tano waislamu wa Kipalestina kwenye jela za Mayahuudi na wengi kati yao

wanakabiliwa na hali mbaya ya kiafya. chanzo.

https://www.facebook.com/photo.php?...52029186.26486.100002214543445&type=1&theater
 
Mayahudi waislam wapo na juzi juzi tu kuna yahudi alikuwa adui mkubwa wa uislam lakini amesilimu
 
hawa jamaa huwa ni kigeugeu sansa sasa hatujui wanapigania uislamu au nchi ya palestina??
 
Hivi kwani hamna Wayahudi waislam???
Je Waislam wa Kiyahudi wanapatana na Wapalestina? MziziMkavu naomba jawabu tafadhali
Kwanini wasipate Waislam wa kiyahudi na Wapalaestina wanapata mkuu Bujibuji mimi niliwahi kuishi nchini syria miaka 25 iliyopita niliwahi kuwaona Wayahudi wapo nchini syria na hawabaguliwa hayo ni mambo ya Siasa tu ndio matatizo sio Wananchi mkuu
 
Last edited by a moderator:
vita ya parestina si yadini niya nchi. palestina kuna wakiristo wengitu na israel kunawa isilamu wengi. jerusalem kwenye hekaru la suleimani ni mahari patakatifu kwa ote. lakini wanao sali hapo ni imani mbilitu, wayahudi na waisilam nao wametengwa na
 
ukutatu. hawahuku hawa huku, myahudi akisirim hawezi kuchukua jina la kiarab wara muarab akiamini dini ya kiyahudi hawezi kuchukua jina ra kiebrania au la kizungu,swali kwahiyo hata wayahudi waisilamu nao ni makafiri? nakama ni makafiri kwanini mme.
 
kwanini mmechukua mambo mengi kutoka kwao? kama siku za juma wao siku ya kwanza ni j.pili na yasaba ni j.mos, idadi ya siku 30 kwa mwezi, kutaili govi, vitu haram japonyie mnaruhusiwa kura mkiwa na njaa na nk.
 
Uyahudi




"Magen David" au nyota ya Daudi ni ishara ya Uyahudi



Menora au tawafa ya mikono saba pamoja na yarmulke au kofia ya Kiyahudi ni pia ishara za imani

Uyahudi ni kati ya dini za kale za binadamu, lakini jina hilo lilienea baada ya makabila mengi ya Israeli kutoweka, hata wakabakikaribu wale wa kabila la Yuda tu.

Wafuasi wa Uyahudi huitwa "Wayahudi." Kuna takriban Wayahudi milioni 13 -14 duniani. Hata wakati ambapo idadi ya Wayahudi ilikuwa ndogo duniani, imani yao ilikuwa na athira kubwa. Wataalamu wengine huuita "dini mama" ya Ukristo na Uislamu.
Uyahudi ni pia jina la kihistoria la sehemu ya nchi ya Palestina au Israel.

Kwa jumla kuna namna mbili za kuangalia Uyahudi: ama kama dini au kama taifa. Namna zote mbili huchanganyikiwa na kutumiwa pamoja mara kwa mara.

Kuna Wayahudi wanaojitazama raia wa nchi fulani na Uyahudi wao ni katika imani tu. Kuna Wayahudi wengine wanaosema ya kwamba hawafuati dini ya Kiyahudi wala hawaamini lakini wanajisikia kuwa Wayahudi kwa sababu za ukoo na pia desturi za utamaduni wao.


Imani


Imani yake ni kwamba Mungu ni mmoja tu; ndiye aliyeumba mbingu na dunia akamteua Ibrahimu kuwa baba wa taifa la Mungu.

Kuna namna mbalimbali katika imani ya Kiyahudi kama madhehebu.

Mara nyingi kanuni 13 za mwalimu Myahudi Maimonides aliyeishi katika karne ya 12 hukubaliwa na Wayahudi wengi.

  1. Mungu alikubali kila kita anaendelea kuangalia uumbaji wake.
  2. Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa.
  3. Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani.==Tanakh==
  4. Mungu alikuwepo daima, ataendelea kuwepo milele.
  5. Sala zifanywe kwa Mungu pekee.
  6. Mafundisho ya manabii wa Kiyahudi ni ya kweli.
  7. Musa alikuwa nabii mkuu wa nyakati zote hakuna atakayemshinda.
  8. Mungu alimpa Musa Torati.
  9. Torati haitabadilishwa na hapatakuwa na torati nyingine.
  10. Mungu anajua dhana na mawazo wa kila mtu.
  11. Mungu atawatuza wenye haki na kuwaadhibu waovu.
  12. Masiya atakuja.
  13. Wafu watafufuka.

Tanakh


Msingi wa Imani ya Kiyahudi ni maandiko matakatifu ya Biblia ya Kiebrania au Tanakh. Maandiko hayo hukubaliwa pia na Wakristo

katika Agano la Kale ambalo ni sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo.
Ndani ya maandiko hayo mara nyingi vitabu vya Torati huheshimiwa sana kama neno la Mungu mwenyewe lililotolewa kwa Musa.

Halafu vitabu vya manabii vinavyotazamiwa kama maneno yaliyotamkwa na manabii kwa agizo la Mungu.
Ngazi ya tatu ni maandiko mengine (ketuvim) yanayoaminiwa ni maandiko ya kibinadamu yaliyoongozwa na Roho wa Mungu.


Talmudi


Mbali na Biblia, huheshimiwa pia maandiko ya Talmudi ambayo ni maelezo ya Biblia na kuhusu maswali ya imani, historia na mapokeo ya Kiyahudi. Ni wazi kwa Wayahudi ya kwamba Talmudi ni maneno ya kibinadamu.


Mitzvot - Amri


Kuna matendo fulani ambayo ni muhimu katika imani hiyo. Yanaitwa mitzvot au amri ya Mungu kwa Wayahudi. Kuna amri 613 zinazojulikana kutoka Torati. Sehemu ya amri hizO hazitekelezwi leo kwa sababu zinahusu hekalu la Yerusalemu lililoharibiwa mwaka 70 BK.

Amri kumi
zina nafasi ya pekee kati ya amri zote.
Pamoja na amri hizi za torati kuna maelezo mapana katika Talmudi. Hata madai ya Talmudi mara nyingi zatajwa kama "mizvot". Ila tu ni tabia ya Uyahudi ya kwamba wataalamu hutofautiana juu ya maelezo haya mara kwa mara.

Mkuu Nonda
 
Last edited by a moderator:
Naomba uniambie ni dini gani ambayo ni kubwa(kuu) nchini israel
Mkuu Chuma Chakavu nchini Israil kuna dini Kubwa 3 Ya kwanza Dini ya wayahudi, ya pili Dini ya Waislam na Ya tatu dini ya Wakristo zote hizo hapo Uyahudini ni dini Kubwa siwezi kuelewa Dini ipi yenye wafuasi wengi hapo nchini Israil.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni hivi .ni mbaya sana, zaidi ya kuika khaki .za binaadamu ...
Mkuu kabanga Umezungumza point mimi sikuweka hii thread kwa lengo la Udini la hasha mimi nimeweka hi thread kupinga kitendo wanachofanya hawa Waisrail kuwapiga sindano Jirani zao wa Ki-Palestina sio Ubinadamu kabisa ni jambo la kinyama na dunia inafaa kukilani kabisa kitendo hicho wanachokifanya hawa Waisrail asante sana kwa kunielewa mkuu.Ni Kitendo cha kinyume cha Haki za Kibinadamu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom