Waarabu na Wazungu wametufanya Waafrika tuwe wapumbavu kuliko hata upumbavu wenyewe kwa kubaguana sisi kwa sisi kwa utumwa wa kidini ilihali hata siyo sisi waasisi.
Ngoja waendelee kutuona manyani maana hakuna namna
Hawa wa Palestina ndugu zake madam FaizaFoxy wazee wa kunena ALLAH AKBAR pale tu baada ya kumuua binadamu mwenzao sipati picha jinsi mu Israel Prime Minister Ndetanyahu akiwaandalia shoo moja kabambe, konkodi na ya kibabe mno!
Waisrael na wafuasi wao huwa wanajigamba hoo wataalam wa intejensia, hoo wabobezi wa usalama na vita. Leo wamekiona cha moto kwa mbinu za kimila/kienyeji za Hamasi. Israel ijifunze kuheshimu HAKI za wengine, hasa wapalestina. Wanapoteza muda kunyang'anya meno ya mahakama badala ya kulinda usalama wa nchi yao.
Hawa wa Palestina ndugu zake madam FaizaFoxy wazee wa kunena ALLAH AKBAR pale tu baada ya kumuua binadamu mwenzao sipati picha jinsi mu Israel Prime Minister Ndetanyahu akiwaandalia shoo moja kabambe, konkodi na ya kibabe mno!
Elewa dunia haitaki inshu za kulazimishana bali uhuru tena kwa hiyari, vipi kule Iran penye maandamano sababu ya kuuwawa kwa Ke aliyeacha kufunika kichwa?
Waisrael na wafuasi wao huwa wanajigamba hoo wataalam wa intejensia, hoo wabobezi wa usalama na vita. Leo wamekiona cha moto kwa mbinu za kimila/kienyeji za Hamasi. Israel ijifunze kuheshimu HAKI za wengine, hasa wapalestina. Wanapoteza muda kunyang'anya meno ya mahakama badala ya kulinda usalama wa nchi yao.
Tangu kuumbwa kwa dunia hakujawahitokea Taifa lolote lililopigana vita mfululizo visivyoisha zaidi ya Israel na Palestine, bisha kwa ushahidi wala si mahaba....
Sasa unaanzaje kukejeli Israel kwa shambulizi zito 1 walilopata juzi ilihali bado Taifa lipo na Wazuri Mkuu wao kashatangaza kuwa Israel itafanya malipo tokana na maafa yaliyotokea Gaza juzi?
Palestina ina wakistru pia! Usije kujidanganya kuwa mgogoro wa Palestina na Israel ni mgogoro wa kidini ata siku mojahata kama ni mixa kwann wakawashambulie..watu wame tulia zao ngoja wapelekewe moto