Israel yashambulia Syria!

Israel yashambulia Syria!

israel wamesema ile sehemu walioishambulia ilikua imehifadhiwa siraha kutoka iraq zailizo kuwa zinapelekwa kwa wahesbora. mia
 
waislam na wakristo,ndo vita ya dunia ijayo

Hakuna kitu kama hicho!Waarabu watapigwa na myahudi akisaidiwa na USA!Naamini maneno ya unabii wa Biblia.Hatimaye utasimikwa utawala mmoja chini ya mpango maalum wa NWO nao utakuwa ndiyo ishara ya mwisho wa tawala za binadamu.Chunguza maandiko.Hakuna cha Mchina Mrusi wala Iran!Neno lazima litimie ndio maana Israel haogopi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Act of war! Bro dont make me laugh. Israel has been violate international laws since the beginning of time. They are in war with all its neighbours. And its the most hated nation on earth. No one. I mean no one nation likes israel. America back them up just because of jewish lobby they have otherwise the will be in a real shit. ask individual American themself they will tell you. 7 out of 10 dont like israel. And its simple. THE ARE MASS MURDERS. The hate peace and they love killing. GOD HELP US ALL.
 
Huu ni ukweli Mchungu, ni habari mbaya lakini ndio ukweli..Russia amebakia kubwabwaja tu hana msaada na hawezi kusaidia lolote.hawa magaidi wa Marekani wao wanafanya vitendo, mnajua hii manake nini? Syria akijidaia anajibu hawa wanakuja kujibu na full swing na hapo Wanamuua Assada na kuweka vibaraka wao kwisha...sasa hii kijeshi tunaita Provocative Military Drill...Yaani uchokzi tu ukiwa umejipanga kummaliza adui...
 
Haya kazi inaendelea............Hii vita naona inapikwa kwa muda mrefu sana. Sijui itaiva lini, ila inaonekana haina muda mrefu sana.
 
Wrong forum! au unataka ku.balance story?
 
Hakuna kitu kama hicho!Waarabu watapigwa na myahudi akisaidiwa na USA!Naamini maneno ya unabii wa Biblia.Hatimaye utasimikwa utawala mmoja chini ya mpango maalum wa NWO nao utakuwa ndiyo ishara ya mwisho wa tawala za binadamu.Chunguza maandiko.Hakuna cha Mchina Mrusi wala Iran!Neno lazima litimie ndio maana Israel haogopi!

Mkuu unapotoa hoja kama hii inapendeza pia utoe na ushahidi wa andiko, mimi nimesoma bible na kwa bahati mbaya au nzuri sijakutana na andiko nlinalosema hayo ulioyasema,tunaomba ushahidi tafadhali,
 
israel wamesema ile sehemu walioishambulia ilikua imehifadhiwa siraha kutoka iraq zailizo kuwa zinapelekwa kwa wahesbora. mia

FIGGANIGGA, Israel wamesema wanayotaka kusema lakini ukweli ulimwengu mzima wanajua na kuuona kuwa israeli miaka yote inavunja sheria za kimataifa na kuuwa watu wasio na hatia kwa kisingizio cha kulenga silaha za hizbollah na israel ni war criminal wa miaka yote, wameua na wanaendelea kuuwa kina mama na watoto wa palestian usiku na machana,
lakini kama wenyewe wanavyosema" history repeat itself " iko siku israel itakuwa ni taifa la chini kabisa na wanao onewa watakuja juu.
Wakati wa hitler ukimwambia muisraeli kwamba iko siku nyie na taifa lenu litakuwa juu na lenye nguvu, basi naimani hao waisraeli wa wakati huo wangekudhani kuwa wewe ni mwendawazimu, lkn leo tunayaona,
iko siku, may be tutawahi kuiona hiyo siku au vizazi vijavyo lkn hakuna ktk historia taifa likawa opressor na likadumu,
Naomba mungu aniweke nipate kuiona hio siku
 
hii ni zaidi ya uchokozi kwa serikali ya syria na wananchi kwa ujumla.
 
hii ni zaidi ya uchokozi kwa serikali ya syria na wananchi kwa ujumla.
Hakuna uchokozi wowote,Serikali ya Asad ni serikali ya kigaidi lazima ishambuliwe kwa nguvu zote!
 
Nakuunga mkono kwa hili, ni ukweli kuwa kutakuwa na regional war pale midle east. Japo wengi hii vita imekaa ki-ushia na ki-usunni ambapo Iran, Iraq na Lebanon kupitia Hizbollah chini ya Hassan Nasrallah wakimuunga mkono zaidi Bashar al Assad.
Ila kwa hiyo explosion, kuna dalili ya amani kutoweka kabisa pale midle east kwa sasa.

pale middle east hakuna kitu tena kwanza mabeberu wamevunja umoja wa waarabu katika mataifa yao, pili wamevunja nguvu za kijeshi kwa kuangamiza zana za kivita na kuwaacha na short guns kwa mfano iraq, libya na sasa syria, mwenye nguvu za kijeshi anabaki kuwa iran, waarabu hawawezi tena kupigana na israel kwa status yao kijeshi ilivyo sasa, pia kule misri nchi iko vipande vipande kuhujumiana ni jambo la kawaida, hamuwezi kuingia vitani mkiwa si wamoja mtapigwa mapema, itakuwa vita fupi sana kuliko ile ya mwaka 1947
 
Back
Top Bottom