Israel ni pasua kichwa kwa nchi za Kiarabu, kila hesabu ni ngumu, kama huku Tanzania, Watanzania wanavyowaza namna ya kuiondoa CCM madarakani

Israel ni pasua kichwa kwa nchi za Kiarabu, kila hesabu ni ngumu, kama huku Tanzania, Watanzania wanavyowaza namna ya kuiondoa CCM madarakani

mkulimamiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
2,254
Reaction score
4,466
Kutengeneza kitu kinachoitwa, A strong union and in order to do something with that solidarity, huwenda ndilo jambo gumu sana hapa Dunian

Nimeshindwa kuielewa Dunia, hasa kwenye jambo hili, pale watu wengi wanapokubali kunyanyaswa, kubagazwa na kikundi cha watu wachache tu, na kundi la wengi wakaishia kulalamika tu bila njia ya kutokea.....?

Hii inakuwaje?

Kwamba CCM ambayo miongo na miongo imekuwa ikilalamikiwa na Watanzania waliowengi kwamba, imekuwa ikiinyonya nchi na kugawa maliasili zake kwa wageni kwa bei ya kutupwa, huku mafisadi yakiendelea kutamba kwamba hakuna wa kuwatisha wala kuwazuia kupora kodi za wananchi

Wananchi ambao ni wengi, wamekosa kabisa huo umoja ili kuamua kwa pamoja kuiondoa ccm kwa kura za hasira? Ni nani mwenye maarifa, kibali na hekima iliyopita kimo cha kibinadamu ili awaunganishe Watanzania waliokata tamaa ya nchi yao ili kuwahamasisha wakapige kura kuikataa ccm?

Kwa nini tunavyama zaidi ya 20 vinavyotafuta madaraka badala ya kuwa na vyama viwili ama vutatu pekee?? Maana pia hiyo inadhofisha umoja wetu wanyonge

Hali kadhalika, Ni nchi gani huko Uarabuni itakayowaleta waarabu wote kwa umoja wao ili waweze kuunganisha nguvu zao kumkabiri Israel?

NATO ya Middle iko wapi

Au siku zote wanyonge hawawezi kuungana kumkabiri mwenye nguvu?
 
Huwezi kufananisha akili mingi za Israel na hadaa,rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa hao wengine.
Baada ya harakati za kudai uhuru afrika pamoja na middle east, walitambua fika Afrika hakuna shida sana na wanawamudu from far tofauti na Arabs, hivyo wazungu walitaka kuwa na mshirika wa kuaminika wa kijeshi ili kuweza kuzidhibiti nchi za kiarabu pamoja na dini ya Uislam kwa ujumla.

Mainstream media and Politicians will never tell you this..
 
Baada ya harakati za kudai uhuru afrika pamoja na middle east, walitambua fika Afrika hakuna shida sana na wanawamudu from far tofauti na Arabs, hivyo wazungu walitaka kuwa na mshirika wa kuaminika wa kijeshi ili kuweza kuzidhibiti nchi za kiarabu pamoja na dini ya Uislam kwa ujumla.

Mainstream media and Politicians will never tell you this..
Duniani ni lazima kukaa kininja na kuchunga mzigo wako dhidi ya mahasidi.Hakuna kukaa kiboyaboya.
 
Kutengeneza kitu kinachoitwa, A strong union and in order to do something with that solidarity, huwenda ndilo jambo gumu sana hapa Dunian

Nimeshindwa kuielewa Dunia, hasa kwenye jambo hili, pale watu wengi wanapokubali kunyanyaswa, kubagazwa na kikundi cha watu wachache tu, na kundi la wengi wakaishia kulalamika tu bila njia ya kutokea.....?

Hii inakuwaje?

Kwamba CCM ambayo miongo na miongo imekuwa ikilalamikiwa na Watanzania waliowengi kwamba, imekuwa ikiinyonya nchi na kugawa maliasili zake kwa wageni kwa bei ya kutupwa, huku mafisadi yakiendelea kutamba kwamba hakuna wa kuwatisha wala kuwazuia kupora kodi za wananchi

Wananchi ambao ni wengi, wamekosa kabisa huo umoja ili kuamua kwa pamoja kuiondoa ccm kwa kura za hasira? Ni nani mwenye maarifa, kibali na hekima iliyopita kimo cha kibinadamu ili awaunganishe Watanzania waliokata tamaa ya nchi yao ili kuwahamasisha wakapige kura kuikataa ccm?

Kwa nini tunavyama zaidi ya 20 vinavyotafuta madaraka badala ya kuwa na vyama viwili ama vutatu pekee?? Maana pia hiyo inadhofisha umoja wetu wanyonge

Hali kadhalika, Ni nchi gani huko Uarabuni itakayowaleta waarabu wote kwa umoja wao ili waweze kuunganisha nguvu zao kumkabiri Israel?

NATO ya Middle iko wapi

Au siku zote wanyonge hawawezi kuungana kumkabiri mwenye nguvu?
acha upotoshaji gentleman,
yaan chuki binafsi za hao ombaomba wa kuchangiwa pesa za wisky na nyama choma kila leo, vibaka na matapeli wa kisiasa wa tone tone na no reform no elections ndio waTanzania walio wengi dhidi ya ccm?

are you okey?
kwamba ujitenge na michakato ya kidemokrasia halafu ukae mahali eti uanze kupiga mayo kuilamu ccm inayoongoza nchi katika misingi ya katiba na kuwatumikia waTanzania kwa bidii kubwa?

Hiyo si sawa,
na haupo muujiza wa kuiondoa ccm mamlakani katika karne hii na zijazo.

vita ya Ghaza itamalizwa endapo maskini jeuri wataacha kiburi :NoGodNo:
 
acha upotoshaji gentleman,
yaan chuki binafsi za hao ombaomba wa kuchangiwa pesa za wisky na nyama choma kila leo, vibaka na matapeli wa kisiasa wa tone tone na no reform no elections ndio waTanzania walio wengi dhidi ya ccm?

are you okey?
kwamba ujitenge na michakato ya kidemokrasia halafu ukae mahali eti uanze kupiga mayo kuilamu ccm inayoongoza nchi katika misingi ya katiba na kuwatumikia waTanzania kwa bidii kubwa?

Hiyo si sawa,
na haupo muujiza wa kuiondoa ccm mamlakani katika karne hii na zijazo.

vita ya Ghaza itamalizwa endapo maskini jeuri wataacha kiburi :NoGodNo:
Tangu lini mnufaikaji wa mambo hayo akaona haya kwa anaowanyonya?
 
Tangu lini mnufaikaji wa mambo hayo akaona haya kwa anaowanyonya?
huwezi kupotosha wadau halafu ukatazamwa tu na watu wenye weledi,

huwezi kutuletea habari za shakahola za akina makenzi halafu ukashangiliwa tu, hiyo haiwezekani bana alaa?:NoGodNo:
 
Kutengeneza kitu kinachoitwa, A strong union and in order to do something with that solidarity, huwenda ndilo jambo gumu sana hapa Dunian

Nimeshindwa kuielewa Dunia, hasa kwenye jambo hili, pale watu wengi wanapokubali kunyanyaswa, kubagazwa na kikundi cha watu wachache tu, na kundi la wengi wakaishia kulalamika tu bila njia ya kutokea.....?

Hii inakuwaje?

Kwamba CCM ambayo miongo na miongo imekuwa ikilalamikiwa na Watanzania waliowengi kwamba, imekuwa ikiinyonya nchi na kugawa maliasili zake kwa wageni kwa bei ya kutupwa, huku mafisadi yakiendelea kutamba kwamba hakuna wa kuwatisha wala kuwazuia kupora kodi za wananchi

Wananchi ambao ni wengi, wamekosa kabisa huo umoja ili kuamua kwa pamoja kuiondoa ccm kwa kura za hasira? Ni nani mwenye maarifa, kibali na hekima iliyopita kimo cha kibinadamu ili awaunganishe Watanzania waliokata tamaa ya nchi yao ili kuwahamasisha wakapige kura kuikataa ccm?

Kwa nini tunavyama zaidi ya 20 vinavyotafuta madaraka badala ya kuwa na vyama viwili ama vutatu pekee?? Maana pia hiyo inadhofisha umoja wetu wanyonge

Hali kadhalika, Ni nchi gani huko Uarabuni itakayowaleta waarabu wote kwa umoja wao ili waweze kuunganisha nguvu zao kumkabiri Israel?

NATO ya Middle iko wapi

Au siku zote wanyonge hawawezi kuungana kumkabiri mwenye nguvu?
Duniani ni lazima kukaa kininja na kuchunga mzigo wako dhidi ya mahasidi.Hakuna kukaa kiboyaboya.

Hapa duniani hakuna kitu kigumu Sana Kama Kukaa Pamoja, kwa Umoja na mkiwa wamoja! It's is extremely difficult!
 
acha upotoshaji gentleman,
yaan chuki binafsi za hao ombaomba wa kuchangiwa pesa za wisky na nyama choma kila leo, vibaka na matapeli wa kisiasa wa tone tone na no reform no elections ndio waTanzania walio wengi dhidi ya ccm?

are you okey?
kwamba ujitenge na michakato ya kidemokrasia halafu ukae mahali eti uanze kupiga mayo kuilamu ccm inayoongoza nchi katika misingi ya katiba na kuwatumikia waTanzania kwa bidii kubwa?

Hiyo si sawa,
na haupo muujiza wa kuiondoa ccm mamlakani katika karne hii na zijazo.

vita ya Ghaza itamalizwa endapo maskini jeuri wataacha kiburi :NoGodNo:
Lice at his best.
 
Baada ya harakati za kudai uhuru afrika pamoja na middle east, walitambua fika Afrika hakuna shida sana na wanawamudu from far tofauti na Arabs, hivyo wazungu walitaka kuwa na mshirika wa kuaminika wa kijeshi ili kuweza kuzidhibiti nchi za kiarabu pamoja na dini ya Uislam kwa ujumla.

Mainstream media and Politicians will never tell you this..
Walichanga vyema karata zao,wanastahili pongezi.
 
Baada ya harakati za kudai uhuru afrika pamoja na middle east, walitambua fika Afrika hakuna shida sana na wanawamudu from far tofauti na Arabs, hivyo wazungu walitaka kuwa na mshirika wa kuaminika wa kijeshi ili kuweza kuzidhibiti nchi za kiarabu pamoja na dini ya Uislam kwa ujumla.

Mainstream media and Politicians will never tell you this..
Mbona kwa sasa uislam unaenea kwa kasi Ulaya
 
Back
Top Bottom