mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Kazi ipo si kidogo hapo.Somali pirates wakiitia mikononi hiyo meli?
Lini hiyo imetokea??Hapo middle east pamechafuka sana, lolote kinaweza kutokea anytime.
Russia katungua ndege ya Israeli huko Syria..
MwongoHapo middle east pamechafuka sana, lolote kinaweza kutokea anytime.
Russia katungua ndege ya Israeli huko Syria..
Hapo middle east pamechafuka sana, lolote kinaweza kutokea anytime.
Russia katungua ndege ya Israeli huko Syria..
hatari, silaha hizi za maangamizi siku zikitua kwa mtu asiye na nia nzuri ni balaa.Somali pirates wakiitia mikononi hiyo meli?
US ndio wameangusha ndege ya Syria mkuu. Labda kama hiyo ni habari mpya..Hapo middle east pamechafuka sana, lolote kinaweza kutokea anytime.
Russia katungua ndege ya Israeli huko Syria..
mh! labda ya abiriaHapo middle east pamechafuka sana, lolote kinaweza kutokea anytime.
Russia katungua ndege ya Israeli huko Syria..
Mkuu hizi silaha kuna "mataifa teule" tu yanatakiwa kumiliki.. Majaribio ya aina hii yakifanywa na mataifa mengine yanaitwa ni uchokozi na kuhatarisha amanimbona north korea aki jaribu maneno yanakiwa mengi? mara makubaliano ya kimataifa mara sijui ujinga gani huko...!!
Njoo na story mbadala wa kuonesha uongo wa hiyo habari yangu hapo.Lini acha wongo
Labda kakosea kusoma, maana Leo Israel ndo kashambulia Syria baada ya Roketi toka Syria kutua kwenye ardhi ya Israel.Mkuu hii habari nimeifuatilia sijaiona kokote nimetembelea web ya RT, BBC, Reuters , Hadi jerusalem post sijaona hiki unachokisema....labda wewe utuambie chanzo cha hii habari umetoa wap.....au kama upo hapo middle east
Mimi nilichokiona kwenye facebook page ya RT ni kwamba ndege ya israel imelipua vifaru viwili vya syria
Taarifa hii hapa Vous quittez Facebook
hapo NATO wakowapi khs zuio la Jaribio la Makombora..
Mkandarasi wa jeshi la israel amefanya Jaribio lililofanikiwa la Kombora la Masafa Marefu kutoka kwenye kontena la lililo katika Meli ya kiraia.
Kombora hilo lina uwezo wa Kusafiri hadi KM 400.
SOURCE:rt
MAONI:
Tunakoelekea, Vita vinazidi kurahisishwa sana kiasi kwamba kile unachodhani sio hatari kumbe ni hatari kuliko maelezo.
Changamoto Utagunduaje hiyo meli inayokuja na Makontena lukuki inakombora au Makinikia peke yake??
Kazi ipo...