mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
Mkandarasi wa jeshi la israel amefanya Jaribio lililofanikiwa la Kombora la Masafa Marefu kutoka kwenye kontena la lililo katika Meli ya kiraia.
Kombora hilo lina uwezo wa Kusafiri hadi KM 400.
SOURCE:rt
MAONI:
Tunakoelekea, Vita vinazidi kurahisishwa sana kiasi kwamba kile unachodhani sio hatari kumbe ni hatari kuliko maelezo.
Changamoto Utagunduaje hiyo meli inayokuja na Makontena lukuki inakombora au Makinikia peke yake??
Kazi ipo...