ISRAEL:Jaribio la kombora la Masafa Marefu kutoka kwenye KONTENA lililo ktk Meli ya Mizigo ya kiraia

594e2794c461883f348b4569.JPG


Mkandarasi wa jeshi la israel amefanya Jaribio lililofanikiwa la Kombora la Masafa Marefu kutoka kwenye kontena la lililo katika Meli ya kiraia.

Kombora hilo lina uwezo wa Kusafiri hadi KM 400.
SOURCE:rt

MAONI:
Tunakoelekea, Vita vinazidi kurahisishwa sana kiasi kwamba kile unachodhani sio hatari kumbe ni hatari kuliko maelezo.
Changamoto Utagunduaje hiyo meli inayokuja na Makontena lukuki inakombora au Makinikia peke yake??

Kazi ipo...
KILOMITA 400!!!
si ni sawa tufanye kutoka ubungo mpaka wapi? chalinze msata morogoro au wapi?
 
Mkandarasi wa jeshi la israel amefanya Jaribio lililofanikiwa la Kombora la Masafa Marefu kutoka
Changamoto Utagunduaje hiyo meli inayokuja na Makontena lukuki inakombora au Makinikia peke yake??

Kazi ipo...

Mkuu mbona wenzao walisha fanya majaribio hayo miaka mingi iliyopita - na si kwa kutoka kwenye makonteina yaliyo bebwa na Melini tu, bali na yale yanayo bebwa kwenye makonteina yanayo safirishwa na malori, Malori mengine yanawekewa drones zenye uwezo wa kunyajua conteina la futi ishirini juu, Drones zina injini nne zinazo tumia umeme kwa hizo hazitoi sauti Drone inabeba conteina juu mpaka kufikia futi 3,000 computer inaongoza missiles kulenga sehemu iliyo kuwa pre-programmed in advance, kama ni airbase yenye ndege za vita na administration buildings vyote vinashambuliwa kwa wakati mmoja, ndege zinalipuliwa na specialised ammunition computer inaongoza canons za kulipuwa ndege moja baada ya nyingine zikiwa uwanjani, Radar za air Defence system nazo zinashambuliwa, hayo yote yanafanyika automatically bila kuongozwa na binadamu yeyote.

Wahusika wanacho fanya nikusafirisha conteina lililo beba Drone ya kufanya mashambulizi, kwa nje lori linaonekana kama nila kusafirishia matunda, wakifika sehemu wanasimamisha roli wanateremsha drone na ku-extend matawi manne yanayo shikilia injini za drone wana upload kwenye computer software za kuongozea silaha, wanawasha drone halafu wanaondoka zao kwa kutumia pikipiki - lori hawaondoki nalo.

Binafsi nafikili Waisrael walicopy idea kutoka kwa wanasayansi/jeshi la PUTIN, tofauti ya kombora linalo vurumisha kutoka kwenye maconteina yaliyomo kwenye Meli za kiraia za Urusi linakwenda masafa zaidi ya 3,000Km ukilinganisha na ya Israel ambayo range yake ni 450Km or thereabout.
 
Mkuu mbona wenzao walisha fanya majaribio hayo miaka mingi iliyopita - na si kwa kutoka kwenye makonteina yaliyo bebwa na Melini tu, bali na yale yanayo bebwa kwenye makonteina yanayo safirishwa na malori, Malori mengine yanawekewa drones zenye uwezo wa kunyajua conteina la futi ishirini juu, Drones zina injini nne zinazo tumia umeme kwa hizo hazitoi sauti Drone inabeba conteina juu mpaka kufikia futi 3,000 computer inaongoza missiles kulenga sehemu iliyo kuwa pre-programmed in advance, kama ni airbase yenye ndege za vita na administration buildings vyote vinashambuliwa kwa wakati mmoja, ndege zinalipuliwa na specialised ammunition computer inaongoza canons za kulipuwa ndege moja baada ya nyingine zikiwa uwanjani, Radar za air Defence system nazo zinashambuliwa, hayo yote yanafanyika automatically bila kuongozwa na binadamu yeyote.

Wahusika wanacho fanya nikusafirisha conteina lililo beba Drone ya kufanya mashambulizi, kwa nje lori linaonekana kama nila kusafirishia matunda, wakifika sehemu wanasimamisha roli wanateremsha drone na ku-extend matawi manne yanayo shikilia injini za drone wana upload kwenye computer software za kuongozea silaha, wanawasha drone halafu wanaondoka zao kwa kutumia pikipiki - lori hawaondoki nalo.

Binafsi nafikili Waisrael walicopy idea kutoka kwa wanasayansi/jeshi la PUTIN, tofauti ya kombora linalo vurumisha kutoka kwenye maconteina yaliyomo kwenye Meli za kiraia za Urusi linakwenda masafa zaidi ya 3,000Km ukilinganisha na ya Israel ambayo range yake ni 450Km or thereabout.
Wewe hiyo muvi haijatoka bado kha!
 
Back
Top Bottom