Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
NATO hawapo tena duniani mkuu, wangekuwepo wangeshamsambaratisha north korea. aibu ilioje. sasaivi israel inajitegemea. iran ameshasema mara nyingi kwamba taifa analolihofia ni israel pekee, hata marekani haogopwi na irani, ila myahudi amewaweza sana hawa masingasinga.hapo NATO wakowapi khs zuio la Jaribio la Makombora..