Israel huu sasa uzembe

Israel huu sasa uzembe

Ghost boss

Member
Joined
May 3, 2019
Posts
33
Reaction score
57
Jana nimeona kwenye BBC ugaidi unaofanywa na Palestine kurusha makombora kwa raia na kwenye nyumba za ibada, matisho kwa raia Wa kiyahudi yakuwa chungu mzima, serikali ya Israel sasa hamkwepi lawama kwenye hili.

Haiwezekani nchi kama Palestine isiyo na jeshi ila vikundi vya kigaidi inatesa Israel na kusumbua taifa linaloaminika kuwa na ustadi na ubora Wa kijeshi, hapa kwetu Tanzania ni taifa tajiri kwa rasilimali ila masikini kwa asilimia Fulani ya maisha ya watu ila hatuwezi tukarushiwa kombora na kikundi cha kigaidi au taifa na chamtemakuni wasikione na hawato kaa warudie tena, kama kipigo tulicho mwangushia mganda mpaka Leo hana hamu na sisi.

Lakini pia Israel mnakwama wapi kuweka viongozi vibaraka kwenu uko Gaza na kupelekea hali ya utulivu huko ndani, kama mji Wa yerusalemu ndio unahali mbaya kwa mshambulio ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi vya hamasi kiufupi lazima israel ifanye kitu cha lazima ikiwezekana hata kutuma vikosi maalumu Gaza kutafuta vikundi vya kigaidi na Kuvisamba Latisha hii piga piga kidogo inaamsha hasira upande Wa nchi za kiislam na kunaweza ibuka balaa la zaidi ya miaka ya nyuma.

Israel iweke amani mapema na Palestine kabla hali haijawa mbaya kama tz ilivyoweka amani na Uganda kwa kumwangushia nduli mzigo Wa kutosha Wa mabomu na risasi...
 
Jana nimeona kwenye BBC ugaidi unaofanywa na Palestine kurusha makombora kwa raia na kwenye nyumba za ibada, matisho kwa raia Wa kiyahudi yakuwa chungu mzima, serikali ya Israel sasa hamkwepi lawama kwenye hili.

Haiwezekani nchi kama Palestine isiyo na jeshi ila vikundi vya kigaidi inatesa Israel na kusumbua taifa linaloaminika kuwa na ustadi na ubora Wa kijeshi, hapa kwetu Tanzania ni taifa tajiri kwa rasilimali ila masikini kwa asilimia Fulani ya maisha ya watu ila hatuwezi tukarushiwa kombora na kikundi cha kigaidi au taifa na chamtemakuni wasikione na hawato kaa warudie tena, kama kipigo tulicho mwangushia mganda mpaka Leo hana hamu na sisi.

Lakini pia Israel mnakwama wapi kuweka viongozi vibaraka kwenu uko Gaza na kupelekea hali ya utulivu huko ndani, kama mji Wa yerusalemu ndio unahali mbaya kwa mshambulio ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi vya hamasi kiufupi lazima israel ifanye kitu cha lazima ikiwezekana hata kutuma vikosi maalumu Gaza kutafuta vikundi vya kigaidi na Kuvisamba Latisha hii piga piga kidogo inaamsha hasira upande Wa nchi za kiislam na kunaweza ibuka balaa la zaidi ya miaka ya nyuma.

Israel iweke amani mapema na Palestine kabla hali haijawa mbaya kama tz ilivyoweka amani na Uganda kwa kumwangushia nduli mzigo Wa kutosha Wa mabomu na risasi...
Mnadhambi nyie watu kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
Hamas wanaotetea wapalestina mnawaita magaidi ila Israel inayoua watoto na wanawake hamuwaiti magaidi?
Nyie watu waajabu sana.

Jana nimeona kwenye BBC ugaidi unaofanywa na Palestine kurusha makombora kwa raia na kwenye nyumba za ibada, matisho kwa raia Wa kiyahudi yakuwa chungu mzima, serikali ya Israel sasa hamkwepi lawama kwenye hili.

Haiwezekani nchi kama Palestine isiyo na jeshi ila vikundi vya kigaidi inatesa Israel na kusumbua taifa linaloaminika kuwa na ustadi na ubora Wa kijeshi, hapa kwetu Tanzania ni taifa tajiri kwa rasilimali ila masikini kwa asilimia Fulani ya maisha ya watu ila hatuwezi tukarushiwa kombora na kikundi cha kigaidi au taifa na chamtemakuni wasikione na hawato kaa warudie tena, kama kipigo tulicho mwangushia mganda mpaka Leo hana hamu na sisi.

Lakini pia Israel mnakwama wapi kuweka viongozi vibaraka kwenu uko Gaza na kupelekea hali ya utulivu huko ndani, kama mji Wa yerusalemu ndio unahali mbaya kwa mshambulio ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi vya hamasi kiufupi lazima israel ifanye kitu cha lazima ikiwezekana hata kutuma vikosi maalumu Gaza kutafuta vikundi vya kigaidi na Kuvisamba Latisha hii piga piga kidogo inaamsha hasira upande Wa nchi za kiislam na kunaweza ibuka balaa la zaidi ya miaka ya nyuma.

Israel iweke amani mapema na Palestine kabla hali haijawa mbaya kama tz ilivyoweka amani na Uganda kwa kumwangushia nduli mzigo Wa kutosha Wa mabomu na risasi...
Ndugu e
 
Jana nimeona kwenye BBC ugaidi unaofanywa na Palestine kurusha makombora kwa raia na kwenye nyumba za ibada, matisho kwa raia Wa kiyahudi yakuwa chungu mzima, serikali ya Israel sasa hamkwepi lawama kwenye hili.

Haiwezekani nchi kama Palestine isiyo na jeshi ila vikundi vya kigaidi inatesa Israel na kusumbua taifa linaloaminika kuwa na ustadi na ubora Wa kijeshi, hapa kwetu Tanzania ni taifa tajiri kwa rasilimali ila masikini kwa asilimia Fulani ya maisha ya watu ila hatuwezi tukarushiwa kombora na kikundi cha kigaidi au taifa na chamtemakuni wasikione na hawato kaa warudie tena, kama kipigo tulicho mwangushia mganda mpaka Leo hana hamu na sisi.

Lakini pia Israel mnakwama wapi kuweka viongozi vibaraka kwenu uko Gaza na kupelekea hali ya utulivu huko ndani, kama mji Wa yerusalemu ndio unahali mbaya kwa mshambulio ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi vya hamasi kiufupi lazima israel ifanye kitu cha lazima ikiwezekana hata kutuma vikosi maalumu Gaza kutafuta vikundi vya kigaidi na Kuvisamba Latisha hii piga piga kidogo inaamsha hasira upande Wa nchi za kiislam na kunaweza ibuka balaa la zaidi ya miaka ya nyuma.

Israel iweke amani mapema na Palestine kabla hali haijawa mbaya kama tz ilivyoweka amani na Uganda kwa kumwangushia nduli mzigo Wa kutosha Wa mabomu na risasi...
Ni ngumu San Arabs Wana mass nationalism wataonewa tu Kwa kuwa hawapo military competent ila co kutulizwa katika kudai haki yao
 
Mnadhambi nyie watu kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
Hamas wanaotetea wapalestina mnawaita magaidi ila Israel inayoua watoto na wanawake hamuwaiti magaidi?
Nyie watu waajabu sana.


Ndugu e

Muda wao utawadia na watakwisha wayahudi wote mkuu. Haki ya mtu haipotei, ardhi itarudi kwao. "Usidhulumu wala usikubali kudhulumiwa "
 
Back
Top Bottom