Islamic State Getting $50 Million a Month from Stolen Oil...

Islamic State Getting $50 Million a Month from Stolen Oil...

Status
Not open for further replies.
kati ya watu wanaochukia waislam na kuanzisha thread humu JF za mapungufu ya uislam ni huyu muanzisha hii thread, hakika jins unavyouchafua uislam n mm kama muislam, ningekufahamu!!!!!!!!!
Pole sana kijana. Huu ni mwaka wa 2014, tule tusiri twenu mlio kuwa mnaficha kwa kuandika Kimanga, hatufanyi kazi tena. Sasa ni UWAZI tu. Kama hupendi unacho soma, jiunge na wanao ongoza dunia. You can't beat them, join them.
 
Vipi bwana yako mchungwaji hajamboo

endelea kazi yako ya kutafuta mapungufu ktk uisilamu

Ningekuelewa kama ungejibu hoja ya watu (wawe waislamu, wakristo, wahindu n.k) kuiba mafuta ili kufadhili kuua wengine (wanaouliwa wawe ni waislamu, wakristo, wahindu, masingasinga n.k).
 
Nchi gani zilizoruhusu ndoa za jinsia moja?jee ni kanisani au msikitini ulishasikia ndoa za namna hiyo zikifungwa?ulishafika dubai kufanya shopping usiku?hukuona watu wananunua bidhaa na kuziacha nje unazunguka hata mpaka kesho yake unavikuta vitu vyako salama?hujaona takwimu za maambukizi ya ukimwi nchi za uarabuni zina percentage ndogo sana za maambukizi kuliko zingine?Quran Takatifu ilishabainisha mfumo kamili uliosahihi wa maisha kwa kipindi kilichopita kilichopo na kijacho.Mama Askofu wako anaitwa nani?Hivi wasabato hutumia biblia gani? maana wao ni wakristo wasiokunywa pombe wala kula nguruwe

Ukristo haurusu ushoga (hata kama kuna wanaojiita wakristo wanasimika maaskofu mashoga). Ushoga una mizizi uarabuni (japo mashoga wa huko hawajitangazi hadharani), kuna tofauti kati ya wanaojitangaza na wasiojitangaza wakati wote wanafanya jambo hilo hilo?
 
Schiendler unachofanya ni mission impossible mi nakujibu kwa videos...ukweli kuwa UISLAMU hata kama inakuudhi vipi ni fastest growing religion ULAYA, AMERICA hata kama unachuki kiasi gani....DEAL WITH IT!

ANGALIA HIZI VIDEOS NA UKATAE KUWA NI ZA UONGO na fanya research ya kutosha sio kuja na propaganda zako zilizopitwa na wakati

Islam fastest growing religion in UK as churches decline - YouTube


Make Me a Muslim young British women are converting to Islam - BBC full movie Documentary 2013 - YouTube
 


KWA MALKIA ELIZABETH WA II
 
Last edited by a moderator:
Schiendler unafanya Mission impossible wambie waliokutuma wakubadilishie



AUSTRALIA KUMEKUCHA
 
Last edited by a moderator:



UJEREMANI NAO HAWAKO NYUMA
 
Last edited by a moderator:
WATCH THIS PACE @Scheindler na wenzio woote ambao mko nyuma bado hamjachelewa

 
Last edited by a moderator:
Hiyo geresha tu,.. wanapewa fedha kutoka matajiri wa kisaudia.
 
Kwahiyo USA and Allies wamewachonganisha bila ya wao kufahamu? Aisee, mimi nilifikiri kuwa those guys deity is akbar, kumba ameshindwa ni stories tu.

kundi kujiita islamic State sio hoja kwetu hata kidogo what they are doing in the name of religion is unacceptable...ikiwa kwako ni hoja basi we jamaa utakuwa ni mchanga sana kuelewa siasa za mashariki ya kati...those are political Dramas ni the most volatile region in the world ...sasa we wazugwa kwa vibendela na matamshi yao ya kiarabu..utakaaga hivyo hivyo

Mission yako endelea nayo ikikushinda wambie wakubadilishie ila huna unachoongeza kipya :A S 103::A S 103:


 
kundi kujiita islamic State sio hoja kwetu hata kidogo what they are doing in the name of religion is unacceptable...ikiwa kwako ni hoja basi we jamaa utakuwa ni mchanga sana kuelewa siasa za mashariki ya kati...those are political Dramas ni the most volatile region in the world ...sasa we wazugwa kwa vibendela na matamshi yao ya kiarabu..utakaaga hivyo hivyo

Mission yako endelea nayo ikikushinda wambie wakubadilishie ila huna unachoongeza kipya :A S 103::A S 103:


Ingia hapa upate elimu ya bure:

[h=1]SYRIA: Jihadist rebels showing off their spoils of war (WARNING: Graphic)[/h]
 
Schiendler unachofanya ni mission impossible mi nakujibu kwa videos...ukweli kuwa UISLAMU hata kama inakuudhi vipi ni fastest growing religion ULAYA, AMERICA hata kama unachuki kiasi gani....DEAL WITH IT!

ANGALIA HIZI VIDEOS NA UKATAE KUWA NI ZA UONGO na fanya research ya kutosha sio kuja na propaganda zako zilizopitwa na wakati
PATA vitu HADIMU HAPA, MIMI sipo kuandikia mate natumia wino yakhe.




 
Last edited by a moderator:
As i told you Pitia hizo videos utagundua unajichosha tu maskini....the pace is Supersonic unakesha ukipigana na upepo mkali hutaweza ndugu

Hate it or love it! But utakubali tu

Schiendler
 
Last edited by a moderator:
leo kauwawa mama huko somalia kwa kutovaa ikabu!!! R I P mama naamini kuna watu bila mtutu wa bunduki wangekua wameisha achana na hii dini ya kulazimishana

uislamu bila strict back up hausongi mbele.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom