Islamabad scholarship 2016,

mabumbe

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
298
Reaction score
40
Nina form form ya scholarship na masters kwa 2016/2017, naomba mtu yeyote mwenye kutaka kwenda kusoma Islamabad pakistani tuwasiliane nmtumie, ataingia kwenye website ya chuo na kuchagua kozi deadline 29/02/2016, uwe na uwezo wa kujaza maandishi kwenye pdf.
 
🙄🙄
 
Pakistaniiii
yah ni Pakistani na ni nafasi tatu hadi tano, actuaally hata mimi imenichukua mwezi mzima bila kuijaza hadi naangalia deadline tarehe 29,02,2016!
 
Nenda tu tunakuombea kwa mungu,ni heri niende pemba kwa jecha
 
Hizo kozi nyingi zitakuwa za kujilipua..
 
Mkuu, kuna engineering courses? naomba form hio kwenyevmail yangu citystructuresltd@gmail.com
 
Nakutumia asubuhi mkuu! Unaweza ukaprint ukajaza then unascan ni page tano tu, engineering nahsi itakuwepo mana naona kinamalizia na technology.
Pamoja sana mkubwa.. Waiting.
 
Pamoja sana mkubwa.. Waiting.
Ili kukimbizana na deadline nimekutumia mda huu jaza na unaweza ukashare na watu wengine wanaopenda kumake hela via scholarship, usinisahau hizo tip za kila mwezi ukifanikiwa,
 
Ili kukimbizana na deadline nimekutumia mda huu jaza na unaweza ukashare na watu wengine wanaopenda kumake hela via scholarship, usinisahau hizo tip za kila mwezi ukifanikiwa,
nitumie tafadhali,sseseme@yahoo.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…