Sikiliza BBC
Yaani upunguzwe kazi ukiwa na miaka 30 then usubiri miaka 30 mingine kupata pesa yako, kweli hii ni serikali ya ****nge.kwa ufupi Harold Sungusia na shirika la haki za binadamu LHRC wamesema wanafungua kesi kuishtaki serikali! Msemaji wa mifuko ya hifadhi anatetea mfumo huo!!
Mbona hakuna kitu mkuu au baadae ndiyo watazungumzia...
hey my fellow Tanzania, lets wake up and stop complaining!!!!! AAAGR**
Tuchukue hatua, tufanye vitendo ambavyo serikali na wabunge wataamka na kujua alaa kumbe watz sio waoga tena.
Mgomoooo na maandamano sekta binafsi na umma.
Kwanza inatakiwa Mabasi yote na vidala dala vyote vigome kuanzia saa kumi na mbili asb.
Pili siku hiyo tunaandaa square za kukutana. Hata mapolisi nao wataishiwa nguvu, maana nguvu ya umma itakuwa kubwa.
Divided we fall, united we stand!!!!!!!!!
Kingozi ninamashaka makubwa na hawa wabunge waliopitisha hii sheria,huu ni wizi na uonevu mkubwa kwa watanzania,kwanza fedha zetu zinakaa kwao pasipo faida yoyote,ni bora kama wangeweka sheria ya kwamba fedha hizo zisichukuliwe lakini ziwe dhamana ya taasisi hizo kutukopesha bila riba lakini kwa hili waliloamua hakika tusipotafakari na kuchukua hatua stahiki Ndugu zangu watanzania inakuwa tumekubali kuibiwa....Tafakari,Chukua hatua.Yaani hawa wabunge ndio wanapitisha sheria ya kis**ge hivi.