Dodgers Gamers
Member
- Aug 20, 2025
- 80
- 96
Kuanzia kesho (septemba 2) klabu ya Young Africans itamiliki eneo lenye ukubwa wa eneo la mita 37,500. Hii kitu iko na ukweli wowote? Kutoka mwamaspoti
HahahahahaahaaaaNi kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu.
Hivyo vyura vilishawahi kupanda ndege kweli? Wale wenzao wa Kihansi walishapanda pipa kwenda Marekani. 😂🤣Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu.