AnaisaidiajeHakuna cha bahati wala kusema zari.Ukweli ambao mfahamu huyu dogo ni undercover wa CIA.
kitu ambacho bado mjaweza kushtuka kwa nini anaweza kuwa stream online kila nchi anapokwenda.
Mshawahi kujiuliza 🧐 ?.Kitu ambacho wachina walijichanganya kumkaribisha kwao na kuna siku mtaniambia ?.
Sio kila jambo duniani ni kufunguka.
Kuwinda magaidiMajukumu ya CIA ni yapi?.
Kufanya ujasusi wa nje ya nchi, kwa hiyo hata Jay Z na mkewake walivyokuja bongo na baadhi ya nchi ni kazi ya CIA? Wale watu maarufu wanakuja Serengeti kule miaka na miaka nao ni CIA?Majukumu ya CIA ni yapi?.
Ngoja tumsubiri ajeKwahiyo wachina waliopo China wameshindwa kumjua huyo Ishowspeed kua ni undercover wa CIA ila wewe mmatumbi uliyopo huko Nzega ndio unajua kua jamaa ni undercover sio?
Sasa wewe mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega tuambie basi umejuaje kua Ishowspeed ni undercover wa CIA?
Mchambuzi kutoka kusini mwa jangwa la sahara😄😁😄Kwahiyo wachina waliopo China wameshindwa kumjua huyo Ishowspeed kua ni undercover wa CIA ila wewe mmatumbi uliyopo huko Nzega ndio unajua kua jamaa ni undercover sio?
Sasa wewe mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega tuambie basi umejuaje kua Ishowspeed ni undercover wa CIA?
Uzuri sio kila jambo kufunguka omba uhai utarudi kusoma uzi huu upya.Wabongo sisi tuona kila kitu kwa jicho la ubaya ila wenzetu ni fursa, kwa umaarufu wa jamaa hakuna nchi itakataa yeye kuja kufanya streaming, ndo mana alipokuja Afrika na hakuja Tz mlianza kuwashwa kwann Haji bongo.
Jamaa sio CIA ila labla atumike kutokana na status yake ya sasa
Uzuri sio kila jambo kufunguka omba uhai utarudi kusoma uzi huu upya.Kwahiyo wachina waliopo China wameshindwa kumjua huyo Ishowspeed kua ni undercover wa CIA ila wewe mmatumbi uliyopo huko Nzega ndio unajua kua jamaa ni undercover sio?
Sasa wewe mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega tuambie basi umejuaje kua Ishowspeed ni undercover wa CIA?
Uzuri sio kila jambo kufunguka omba uhai utarudi kusoma uzi huu upya.Kufanya ujasusi wa nje ya nchi, kwa hiyo hata Jay Z na mkewake walivyokuja bongo na baadhi ya nchi ni kazi ya CIA? Wale watu maarufu wanakuja Serengeti kule miaka na miaka nao ni CIA?
Kwahiyo wewe una siri ambazo China wao hawazijui,mpaka wewe unasema huwezi kufunguka ili ubaki na hiyo siri sio?Uzuri sio kila jambo kufunguka omba uhai utarudi kusoma uzi huu upya.