kama yule fundi gereje aliefanikiwa kumpiga muhindi zaidi ya milioni 100 kwa elfu1 mapema mwishoni mwa mwaka jana, unadhani marafiki wa huyu ndugu na vijana wegine waloshuhudia kufanikiwa kwa jamaa huyu utawashauri kitu kuhusu kuacha kubeti 🐒Hivi kuna mafanikio kwenye kubeti kumbe?
ndio😂Umeelewa lakin?
Dah! Ujuaji umezidi ukubwa wa vichwa kwakwel
@Marcy nahitaji unielewe dear[emoji120]tumekusikia
🤣labda ushauri huu uzingatiwe na hawa u20 but above apo ushauri umechelewa kidogo. wa umri huo na kwa mafanikio ya kubeti vijana hawaambiliki hawashauriki,🐒
Unacheka mkuu haha[emoji1787]
🤣🤣🤣majibu ya jamaa hapo juu ndiyo yamenifurahisha sanaUnacheka mkuu haha
😍nimekuelewa baba sina dramma katika maisha@Marcy nahitaji unielewe dear[emoji120]
Kuishi kwa nidhamu ndio kufanyaje?, unakuwa unawaamkia wakubwa au?Ishi maisha kwa nidhamu. Nidhamu inaleta mafanikio, furaha na uhuru.
Point kubwa sana hii mkuu. Nasjukuru sanAfu mwisho wa siku hutodumu daima hapa duniani ishi uhalisia
Hahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]majibu ya jamaa hapo juu ndiyo yamenifurahisha sana
Nimekupenda bure kwakweli. Mungu aendelee kukutunza ili uendelee kuwa mfano kwa hawa vijana[emoji7]nimekuelewa baba sina dramma katika maisha
Kwann Mkuumbuzi gitaa
Hahahaha Jasmoni Tegga msaidie ndugu yetuKuishi kwa nidhamu ndio kufanyaje?, unakuwa unawaamkia wakubwa au?
vijana wengi waanaharibika tangu wakiwa below 10Kwann Mkuu
Nikweli kabisa sikupingi.vijana wengi waanaharibika tangu wakiwa below 10