BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
Ngoja vimbaumbau watakufata mkuu
Mkuu mbona watu wakusema sana mazee kunani,..wameanzisha Uzi uko umefutwa,!?
Ngoja vimbaumbau watakufata mkuu
Paprika kimbaumbauLipia tangazo mkuu
Sina umbaumbau wowote... Ika ndo nnakoelekea!Paprika kimbaumbau
Mm pia Na huo ugonjwqNdugu zangu nawaombeni msaada. maana anaecheza ngoma hawezi jua kama anajua.
Mwenzenu aisee ninashida na hawa vimbaumbau. yaani imekua tabu nikiona demu kimbaumbau napagawa hatari. nn shida sio pepo huyu.
aisee mniombee nimekua boya sana kwa hawa watoto. hasa wakiwa na less mbinuko noma sana.
kama yupo maridad mmoja aje nimgande aisee.
nimtazamo wangu tu
Nawakubar snaa vimbao mbao aisee unajipimia tyuu.kwa wanopenda manyama kwa kwel wanakosa uhondo wa mapenzHata mimi mkuu nawapenda hawa vimbaumbau wenye mvuto lakin,lakin kuwapata inakuwa taabu sana,hawa Wanawake wana mvuto hatar kimtazamo na kwenye 6*6 maana unajipakulia bila shida tena katika mkao tofaut anamudu,unammiliki kama Simba ammilikivyo Swala
Ila katika kuwa hivyo inabidi pia ucheki ukubwa wa kichwa chako....usije ukawa kama rungu la mzee Mwanyiro wa Tanga!
Ila katika kuwa hivyo inabidi pia ucheki ukubwa wa kichwa chako....usije ukawa kama rungu la mzee Mwanyiro wa Tanga!
Naunga mkono hoja kwa 100%Ndugu zangu nawaombeni msaada. maana anaecheza ngoma hawezi jua kama anajua.
Mwenzenu aisee ninashida na hawa vimbaumbau. yaani imekua tabu nikiona demu kimbaumbau napagawa hatari. nn shida sio pepo huyu.
aisee mniombee nimekua boya sana kwa hawa watoto. hasa wakiwa na less mbinuko noma sana.
kama yupo maridad mmoja aje nimgande aisee.
nimtazamo wangu tu
Una kitambi nin
Pole kwa kucheka sana!....Paprika!
Nimecheka sana aisee!!! Na huu mbichwa wangu kweli inabidi niwe mwangalifu
Unavyopenda kula ivyo iyo body goal itatimia kweli
kisa kucomment fasta kwenye baadhi ya thread mkuuMkuu mbona watu wakusema sana mazee kunani,..wameanzisha Uzi uko umefutwa,!?
kisa kucomment fasta kwenye baadhi ya thread mkuu
Hauko peke yako mkuu..Ndugu zangu nawaombeni msaada. maana anaecheza ngoma hawezi jua kama anajua.
Mwenzenu aisee ninashida na hawa vimbaumbau. yaani imekua tabu nikiona demu kimbaumbau napagawa hatari. nn shida sio pepo huyu.
aisee mniombee nimekua boya sana kwa hawa watoto. hasa wakiwa na less mbinuko noma sana.
kama yupo maridad mmoja aje nimgande aisee.
nimtazamo wangu tu
Usinifanye nije pm aiseeHatimaye na sisi tumekumbukwa Leo ashukuliwe Mungu aliye juuu.