Ishakua tabu sana...Napenda sana wasichana wembamba

Cheer5555

Senior Member
Jun 29, 2013
173
193
Ndugu zangu nawaombeni msaada. maana anaecheza ngoma hawezi jua kama anajua.
Mwenzenu aisee ninashida na hawa vimbaumbau. yaani imekua tabu nikiona demu kimbaumbau napagawa hatari. nn shida sio pepo huyu.
aisee mniombee nimekua boya sana kwa hawa watoto. hasa wakiwa na less mbinuko noma sana.
kama yupo maridad mmoja aje nimgande aisee.

nimtazamo wangu tu
 
Back
Top Bottom