Is this real?

Ennie umbuje..nimesema nawe wazi wazinya kwamba mimi leo bana...bia hapana...siko poa umbuje....halafu tena hommie wangu anantafuta nimsaidie msalaba wake...

Kama ndivyo basi nabariki kujificha kwako!!
 

Hahahaaaa, umenichekesha jamani. Me kuna mtu naona kabisa anadanganyika, jamaa kamwambia yupo nje ya nchi, full kumtumia picha za assets, shoga kapagawaje.....basi watoto wa mjini tunaangalia movie tu....na shoga alivyo na mashauzi sasa hata kumwambia unadanganywa tunashindwa.
 
Sssshhh..usimwambie Asprin au Eiyer kwamba unanipikia kitu kitam to go for the night....sawa umbuje
Wala sitawaambia Umbuje,Hasa huyo hommie Wako utastukia yuko mlangoni tena muda ule wa tukio muhimu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Wala sitawaambia Umbuje,Hasa huyo hommie Wako utastukia yuko mlangoni tena muda ule wa tukio muhimu!!!!

Sawa umbuje namjua..mwone Eiyer apo juu...
 
Last edited by a moderator:
Distance relationships

Online dating

Will never happen to me
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…