Is this fair decision?

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Jamaa wawili walienda msituni kuwinda.Walipokuwa huko walifanikiwa kumuua swala mmoja.Wakiwa katika harakati za kumbeba,mara ghafla wakashambuliwa na nyati na mmoja wao kujeruhiwa vibaya.Jamaa mwingine akamtelekeza mwenzie aliyeumia na kumbeba swala na kurudi naye nyumbani.Alipoingia ndani akahojiwa kwa nini aliamua kumtelekeza mwenzie porini?.Jamaa akawajibu;"ningemwacha huyu swala angeibiwa na ndo maana nikaamua kumwacha jamaa kwa sababu hamna atakaye mchukua".
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…