Is this Africa's 1st Female Billionaire?

Afadhali huyu utajiri wake unajulikana na analipa kodi na kutoa ajira kwa waangola pamoja na kuboresha infrastructure...
 
ok ok taja mwingine
chash,

Target yangu ilikua nimueke Mwalimu katika category ya kipekee because he is a good example of
a selfless leader dedicated to the interests of his people.

Shukran.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ni kweli hii story?

Nilishasikia siku za zamani kidogo kuwa Bakhresa ni DENTIST wa Tembo. Kumbe Kinana ana Mwalimu wake, lohh 🙁
Behind every great fortune, there is a great crime.

Bakhresa anasifika kwa kuuza mikate lakini kashauza pembe sana.
 

Nani alikuambia mali ya kwenye hisa haifilisiwi? Ukweli ni kuwa wananchi wa Angola wenyewe ndio wanazungumza hivyo. mali zake zinajulikana kwakuwa zimo kwa jina lake...tofauti na hapa kwetu Tanzania, watu wanamiliki mali, wengine ni watoto wa vigogo, mali nyingi kuliko umri wao, lakini huwezi kuwatia hatiani kwakuwa haziko katika miliki ya majina yao kisheria!!
 
Huu utajiri uko attached na madaraka ya baba yake!
Riz nae soon atashika namba moja then Dangote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…