Sema tu hili jamaa sera na ubabe wake unafanana kwa sehemu fulani na wa yule Dikteta wetu uchwara aliyetutoka.
Na ndani ya Marekani mambo yao yapo kama yale yaliyokuwepo hapa kwetu! Yaani wapo baadhi wanamkubali na kumfagilia sana! Halafu wakati huo huo kuna wapo ambao wana mdis mpaka wamepitiliza! Kutokana tu na sera zake za ndani na nje ya Marekani.
NB: huu ni utafiti wangu tu mdogo mimi Tate Mkuu, Mzee mwenye busara zake nyingi kutoka Lushoto, Tanga.