Sema tu hili jamaa sera na ubabe wake unafanana kwa sehemu fulani na wa yule Dikteta wetu uchwara aliyetutoka.
Na ndani ya Marekani mambo yao yapo kama yale yaliyokuwepo hapa kwetu! Yaani wapo baadhi wanamkubali na kumfagilia sana! Halafu wakati huo huo kuna wapo ambao wana mdis mpaka wamepitiliza! Kutokana tu na sera zake za ndani na nje ya Marekani.
NB: huu ni utafiti wangu tu mdogo mimi Tate Mkuu, Mzee mwenye busara zake nyingi kutoka Lushoto, Tanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.