habari zinazoaminika ni kuwa wajumbe wanaowania urais wa tanzania kupitia ccm wanatumia uamsho kwa ajili ya kuwagawa watanzania kidini ili waweze kupita kwenye kura za maoni na hii inahusishwa sana na kikwete ridhiwani,othmani( tiss)karume rais mstaafu wa ccm shareef wacuf na akina bakwata mipango hii itaaza kuzaa matunda 2013 kwa kuhakikisha muislam ndie chaguo lao.mungu ibariki tanzania