Habari wana jf, mimi huwa napata kigugumizi pale ninapoona mtu ananyanyaswa na mpenzi wake alafu bado anamng'ang'ania, inaniumiza zaidi pale anapokuja kulalamika kwangu kuhusu mpenzi wake, nikimshauri amuache anaenda kunisemea kwa mpenzi wake unakuta huyo mpenzi anakupiga vijembe, hala wanakwambia ooh wagombanao ndio wapendanao alafu yakimkuta tena anakuja tena kukulilia. Hii mnaionaje jamani, kama mpenzi anakunyanyasa yanini kumng'ang'ania?