Habari wanajukwaa?
Leo kwenye pita pita zangu mitandaoni nimekutana na hiyo mada instagram iliyoandikwa na mchambuzi wa michezo pale Azam tv anaitwa Alikamwe, ameandika mengi kuthibitisha statement yake kwamba Feitoto ni overated kwa mpira wetu hapa Tanzania.
Binafsi sikupendezwa na matumizi ya neno '' Overrated '' kwa nafasi yake kama mchambuzi kwani ni wazi anamkatisha tamaa kijana yule ambae kwa muono wangu kiwango chake kimekua kikipanda siku baada ya siku. Unawezaje kutumia takwimu za mechi moja kuthibitisha mchezaji ni overated? Hii si sawa kwa maendeleo ya vijana hawa.
Karibuni kwa michango yenu juu ya kauli hizi za wachambuzi wetu ambao mara kwa mara wamekua wakitumia akaunti zao vibaya kuandika mambo yasiyofaa kwenye mpira wetu.
Leo kwenye pita pita zangu mitandaoni nimekutana na hiyo mada instagram iliyoandikwa na mchambuzi wa michezo pale Azam tv anaitwa Alikamwe, ameandika mengi kuthibitisha statement yake kwamba Feitoto ni overated kwa mpira wetu hapa Tanzania.
Binafsi sikupendezwa na matumizi ya neno '' Overrated '' kwa nafasi yake kama mchambuzi kwani ni wazi anamkatisha tamaa kijana yule ambae kwa muono wangu kiwango chake kimekua kikipanda siku baada ya siku. Unawezaje kutumia takwimu za mechi moja kuthibitisha mchezaji ni overated? Hii si sawa kwa maendeleo ya vijana hawa.
Karibuni kwa michango yenu juu ya kauli hizi za wachambuzi wetu ambao mara kwa mara wamekua wakitumia akaunti zao vibaya kuandika mambo yasiyofaa kwenye mpira wetu.