God is the beginner of science. In fact, science doesn't prove anything than supporting what God created.Du.
As a believer in God i support science 100% ili mradi tu iwe inaenzi utu na uhai.
To support science is one thing and to limit your thinking to scientific discoveries is quite something else.
Hebu ndugu yangu unayeamini katika science. That is kmowledge. Not belief. Tofautisha ujuzi na imani. Ukishaona kitu swala la kuamini halipo. Hapo ni kuchota tu ujuzi.
Imani ni kwa yale ambayo bado kwa upeo wa kibinadamu hatuelewi. Ila kwa ishara na mitume kama mohamed na yesu tunaimarishwa.
Sayansi mpaka sasa imeweza kuelezea mambo mengi. Ila bado mengi sana tena zaidi ya haya yaliyofichuliwa. Imagine tu mwili wa binadamu. Bado kabisa. Imagine hata viumbe tu walio duniani kila mwaka vinagunduliwa vipya. How can you put all your marbles there???
Yani umeishia hàpo?
Pole mwaya.
Sie wenye dini zetu. Wengine tu wana sayansi na tunajua jinsi inavyotia unyenyekevu humbling pale unapojua kuwa behing all that human research kuna source inayounganisha vyote na ilikuwapo tangu enzi na enzi
Du.
As a believer in God i support science 100% ili mradi tu iwe inaenzi utu na uhai.
To support science is one thing and to limit your thinking to scientific discoveries is quite something else.
Hebu ndugu yangu unayeamini katika science. That is kmowledge. Not belief. Tofautisha ujuzi na imani. Ukishaona kitu swala la kuamini halipo. Hapo ni kuchota tu ujuzi.
Imani ni kwa yale ambayo bado kwa upeo wa kibinadamu hatuelewi. Ila kwa ishara na mitume kama mohamed na yesu tunaimarishwa.
Sayansi mpaka sasa imeweza kuelezea mambo mengi. Ila bado mengi sana tena zaidi ya haya yaliyofichuliwa. Imagine tu mwili wa binadamu. Bado kabisa. Imagine hata viumbe tu walio duniani kila mwaka vinagunduliwa vipya. How can you put all your marbles there???
Yani umeishia hàpo?
Pole mwaya.
Sie wenye dini zetu. Wengine tu wana sayansi na tunajua jinsi inavyotia unyenyekevu humbling pale unapojua kuwa behing all that human research kuna source inayounganisha vyote na ilikuwapo tangu enzi na enzi
The Lion of Judah.
Jesus is the Lion of Judah
Your comment proves you do not engage in the reasoning process.Hakuna kipya hapa!,Nitaujibu huu uzi kwa kifupi ka ifuatavyo.
1.Kwanza kuwepo kwa neno"IN GOD WE TRUST",katika noti ya marekani halisababishi mimi(Atheist )nisiitumie.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.
Hapa namaanisha kwamba mfano,mwislam niarufuku kwenda kanisani na kusali ama mkrito kwenda mskitin kusali.Sisi hatuko hivyo .Atheism IS THE COMMON SENSE.
2.Kutumika kwa bandiko lile halituondolei chohote maana sisi sio dini na hatuko kurumbana ama kugombea kitu(afuasi wala maslahi,We are the best thinkers).Na ndio maana 96% ya kila kitu duniani tunaendesha sisi(scientists ).
3.Ukitaka tusitumie dola ya marekani eti kwa sababj ina neno,"IN GOD WE TRUST",Basi mwambie Papa(baba yenu mtakatifu) atoe zile mike zote pale Vatican,na pia atumie majani ya migomba kuhifadhi Documents zake badala ya Laptops ambayo ni kazi ya scientists mnaowapinga.Kisha mwambie akitaka kwenda kwao Argentina ama popote katika safari ya kikazi asitumie ndege bali aende kwa miguu ama ngamia au mwanapunda.
Pia mwambie shekhe mkuu wa pale mecca ama medina,awe anatumia ngamia kwenda misri sio ndege!.
Mbona mnataka kukata tawi mlilokalia? Nyie wazima kweli?
Kuna siku niliwauliza swali kwba mnbie matatizoatatu ambayo dini imeyatatua mapaka sasa hakuna aliyenijibu zaidi ya blah blah!!,
Tatizo kubwa ni hawa wanao pinga. Hata jina lao ni tegemezi kwa theists. Lakini hawana uwezo wa kujibu kwa ushahidi bali kubisha kama chokaraa wa mitaani kule Langata Road, NaiHizi mada ni controversial sana, hamuwezi fikia hitimisho theists vs atheists
Science ni sehemu ya Ukristo na sio kamawengie wanavyo fikiria.Du.
As a believer in God i support science 100% ili mradi tu iwe inaenzi utu na uhai.
To support science is one thing and to limit your thinking to scientific discoveries is quite something else.
Hebu ndugu yangu unayeamini katika science. That is kmowledge. Not belief. Tofautisha ujuzi na imani. Ukishaona kitu swala la kuamini halipo. Hapo ni kuchota tu ujuzi.
Imani ni kwa yale ambayo bado kwa upeo wa kibinadamu hatuelewi. Ila kwa ishara na mitume kama mohamed na yesu tunaimarishwa.
Sayansi mpaka sasa imeweza kuelezea mambo mengi. Ila bado mengi sana tena zaidi ya haya yaliyofichuliwa. Imagine tu mwili wa binadamu. Bado kabisa. Imagine hata viumbe tu walio duniani kila mwaka vinagunduliwa vipya. How can you put all your marbles there???
Yani umeishia hàpo?
Pole mwaya.
Sie wenye dini zetu. Wengine tu wana sayansi na tunajua jinsi inavyotia unyenyekevu humbling pale unapojua kuwa behing all that human research kuna source inayounganisha vyote na ilikuwapo tangu enzi na enzi
Kwasababu wanapenda uwe na maisha mazuri baada ya kifo.Kusema kweli mimi sijawahi kugongewa mlango wala kusimamishwa na atheist njiani akiniambia niachane na habari za Mungu, Wakristo wasumbufu sana, kila siku hodi haziishi kwangu, njiani, kwenye basi...kote huko naambiwa nimkabidhi yesu maisha yangu, seriously?!
Sio kweli ndugu, roho haifi bali uendelea kuishi.Halafu mkuu roho inaishi ndani ya mwili hai tu. Mwili ukipoteza uhai kwa ajali au maradhi roho nayo inapotea(cease to be). Nina maana roho haiwezi kuwepo nje ya mwili. Wale wanaojilipua ili roho zao ziende mbinguni ni porojo tu, wanakua tu dead meat.