Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,517
- 9,437
Nashukuru kwa aliyeweka picha...kwa kweli amenitendea haki....Iringa mbona ipo vizuri tuView attachment 1192347
Nashukuru kwa aliyeweka picha...kwa kweli amenitendea haki....Iringa mbona ipo vizuri tuView attachment 1192347
Cc: recycle BinHii thread ni rubbish
Take it to the dustbin
Namuona dogo kwa mbali anapatashida sana.Iringa mbona ipo vizuri tuView attachment 1192347
Kamwene mwiyangu!Hao watu wa pawaga hapo wapo vizuri wameshavuna mpunga na mahindi utawaambia nini..
Apa iringa mjini kuna mizigo mimgi sema nikuagizie mmoja hadi hapo pawaga.
Muonekano sio shida unaufifisha kidogo na mavazi mkuu,
Ila kilabuni kuna visa sana bora utafute bar
Kamwene mwiyangu!
Vibanda vya CCM, Kihesa sokoni kuna vipub flani pale ni vichimbo vya vitoto vya kihesaKwa iringa hapo chimbo la bei nafuu lipo wap
hatukui mkuuHivi mkilala bila kufanya hilo tendo mnakufa????
Wanaume sijui mkoje yaani dah
Tofaut na vibanda vya ccm vingine kwa hapa mjiniVibanda vya CCM, Kihesa sokoni kuna vipub flani pale ni vichimbo vya vitoto vya kihesa
Tofaut na vibanda vya ccm vingine kwa hapa mjini