Huo utimamu wa akili unao uzungumzia wewe unapimwa kwa misingi ipi hasa!?Hahaha Maisha Ya Siku Hizi Yanatawaliwa Na watu Kujianika Mitandao Kila Kinachotokea Wanataka Kupost fb Na Instagram Ss Hv M2 Na Akili timamu Unaweza Vp kupost Video Kama Ile
Mkuu wewe alshabab au boko haram?Somo la professional ethics and conduct hajalielewa vizuri huyo denti wa Iringa uni. Hata kama alitaka kuwa whistle blower, its better ile video angeipeleka sehemu husika na si kuisambaza ovyo. Watanzania wengi kwa ujumla wanahitaji semina elekezi katika matumizi ya teknolojia hizi mpya.
Wasalaam
Ameisaidia katika lipi kwa kuumiza wengine? Unafikiri pale shuleni muda huu panakalika akili ndogo tu. Angekuwa na mapenzi mema si angempelekea hiyo video mkuu wa shule… hata huyo mwanafunzi anamtatizo yakeHiv ww unavyoona ameisaidia jamii katka kuyatambua haya makosa au usaliti.
Usisitutukane wanafunz wa pale nyambafu.
Japokua first year
Sana kabisa mimi nimeona Ile clip niliis napigwa mimiHivi nyinyi vijana mnaojiita walimu mnawatoto kweli huko majumbani kwenu?
Tukio kama lile ilibidi apongezwe huyo aliyerekodi kwa kufichua huo ukatili nyinyi mnamuona msaliti!!! Msaliti ni wewe ambaye unamtetea muovu bila sababu ya msingi.
Unakoment nini mbona atukuelewi unaopose au una argue?Mh kwa ambao tumesoma miaka ile… sikuona ajabu sana japo inaumiza lakini yapasa hasa kujua tabia ya mwanafunzi, kosa lake siku hiyo na historia yake kinidhamu. Nakumbuka mwl. Wangu alimpiga mwanafunzi mwenzetu na upanga kichwani kwa upaba baada ya dk. Kumi jamaa alivimba hatari.
Hamnielwi na nani?Unakoment nini mbona atukuelewi unaopose au una argue?
Na Wana jamviHamnielwi na nani?