Natafakari sana jinsi Hmaster, Viongoz wa Shule, Walimu, Wanafunzi, wazaz, familia za Wahanga waliotumbuliwa kwa tukio la Kupigwa mwanafunzi lililorekodiwa na Mwanafunzi wa Iringa University aliyekuwa Field pale Mbeya Day Sec, Je huyu Haule na Chuo chake Cha Iringa Varcity leo wamejiskiaje??? Huu usaliti na Ushamba wa Vi techno vya kichina kurekodi kila kitu kumewaponza maisha wenzake. Iringa University imevaa sura ya Usaliti, Uvunjifu wa maadili ya Kitaaluma, kutokuwa wasiri nk. Najiuliza mwakani Wanafunzi wenu wakikosa FIELD ATTACHMENT mtalalamika?? Tubuni hiii dhambi ya Usaliti itawatafuna.