Iringa Mjini hali ni mbaya mabomu yanalindima

Iringa Mjini hali ni mbaya mabomu yanalindima

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,263
Nipo mjini hapa jimbo la Iringa Mjini Polisi wanarusha mabomu kutawanya watu.
 
Hivi sasa maduka wamefungwa baada ya Polisi kutawanya Raia waliokuwa wamekusanyika katikati ya manispaa kudai matokeo baada ya jana kutangaza kuwa kuna kituo kimoja cha ipogolo mabox ya kura kuibiwa na hivyo uchaguzi kurudiwa leo.

Baada ya Uchaguzi kuridiwa wakaambiwa warudi leo saa kumi kuja kutangaziwa matokeo.
 
Sasa kutangaza matokeo wanashida gani?
 
Wamepoteza kiti cha ubunge na manispaa kwa ujumla.Wahehe wameamua kuitupa Ccm moja kwa moja.
 
ukisikia mabomu jua wanataka kuchukua jimbo kwa nguvu
 
God bless this man is very important.
Msigwa my role model
Msimamizi atoe matokeo
watu wa Iringa ni haki yenu kujua matokeo
Police punguza bias
 
Pasi padinde kuchanya kutali muda huu hapo Iringa.
 
Back
Top Bottom