Usajili wa wanachama wapya kwa ile njia ya kisasa iitwayo CHADEMA DGITAL Mkoani Iringa unaendelea kwa kasi ya Kutisha , Lakini bila kelele yoyote ile , ni mwendo wa kimya kimya tu .
Jambo la kufurahisha ni kwamba vibanda vya usajili huo , pia vimekuwa sehemu ya uhamasishaji wa Chanjo ya UVIKO-19
View attachment 1962490