Mkuu ebu fikiria vizuri, kama alikuwa hamaanishi hivyo asingeleta mambo ya 1988, tena matukio yanayofanana.Nilikua nimeishika hiyopost.. nadhani wametenganisha uzi. Ilikua na page 800.
jamaa hamaanishi kwamba ni haki kutungua ndege.. anachojaribu kusema mwaka 1988 hao US walitungua ndege yenye abiria zaidi ya 290 pia.. kama ni unyama US ni mnyama zaidi ya fisi ktk mauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
SIO KWELIDunia nzima iko pamoja na Iran.
Hicho unachojaribu kukifananisha na kinachoendelea kuhusiana na hiyo ndege havifanani kabisa.Yaani wampe manufacturer achunguze madhaifu ya apichokitengeneza? Inayofautiana VP na polisi waliochunguza kifo cha Akwilina na Mwangosi?
Uko sahihi kiongozi, tatizo linakuja kutokana na hali ilivyo kwa sasa.Sio ajabu Iran ikakosa imani na Boeing.Hicho unachojaribu kukifananisha na kinachoendelea kuhusiana na hiyo ndege havifanani kabisa.
In fact, katika hali ya kawaida tu, mwenye kuunda ama kukitengeneza kifaa husika ana nafasi kubwa zaidi ya kuyajua madhaifu au mapungufu ya kifaa chake alichokiunda yeye mwenyewe.
Data zinaweza "kupikwa" hata hapo hapo Iran na hili si jambo ambalo Ukraine ingependa litokee.waanogopa boeing wasije wakapika data
Basi heri wapike wao kuliko Boeing kuja kuwapikia data waonekane wameitungua ndege kama walivyofanya sept 11Data zinaweza "kupikwa" hata hapo hapo Iran na hili si jambo ambalo Ukraine ingependa litokee.
Ukraine imeonesha wasi wasi wao juu ya hilo ndiyo maana imetuma kikosi chao kwa ajili ya kufanya uchunguzi juu ya hilo maana hata taarifa za awali za Iran kuhusiana na sababu za ndege hiyo kuanguka zinatia wasiwasi mkubwa.
Ukraine, hata ile taarifa yao ya awali kwamba tukio hilo halikuwa na uhusiano wowote na ugaidi waliifuta haraka hivyo inaonesha dhahiri kwamba kuna sintofahamu hapo.
Hii ndege ilifanyiwa service tarehe 6 mwezi huu wa kwanza, kipindi kifupi kabisa kabla ya ajali hii kutokea na ilionesha kuwa ilikuwa katika hali nzuri tu pia kampuni ya ndege hii inadai kuwa hivi karibuni haikuwahi kuwa na shida zozote za kiufundi.
Taarifa zinasema ndege ilidelay one hour kwa sababu ya mechanical default zilizotekea, wakafanya marekebisho.
Taarifa zisiwe za upande mmoja tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazingira ya kuanguka kwa hii ndege bado yanatia shaka sana.737-800 iliyoanguka wanadai ni moja ya ndege imara na yenye rekodi nzuri kwenye usalama kushinda matoleo yote ya ndege Boeing iliyowai toa miaka ya karibuni.
Conspiracy theories zishaanza kutokana na historia ya uimara wandege. Worth knowing safari yenyewe ilichelewa kwa masaa mawili kwa sababu ndege ilionekana ina hitilafu muda mchache kabla ya kuondoka.
Mnasubiri nini sasa kumtungua???Iran Kaua watu 17+ Wasio na Hatia, huyu ni Wa kutandikwa na Dunia Nzima
"Heri wapike wao" ili iweje?Basi heri wapike wao kuliko Boeing kuja kuwapikia data waonekane wameitungua ndege kama walivyofanya sept 11
Ajali hii haijaiathiri Iran pekee. Mataifa mbalimbali yamepata athari kutokana na kuanguka kwa ndege hii.Uko sahihi kiongozi, tatizo linakuja kutokana na hali ilivyo kwa sasa.Sio ajabu Iran ikakosa imani na Boeing.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Huwezi kumuamini adui yako Iran yuko sawa maana hawakawii kuja na uongo Wamarekani siyo wa kuwaamini"Heri wapike wao" ili iweje?
Kumbuka kuwa madhara ya hii ndege hayajaikumba Iran peke yake, kuna raia wa mataifa mengine waliokufa katika ajali ya ndege hiyo isitoshe ndege hiyo si mali yao hivyo uchunguzi makini na wa uhakika unahitajika kufanywa ili kuweza kupata ufumbuzi juu ya chanzo cha ajali hii.
Ndege aikufika mbali taarifa zilizopo baada ya dakika mbili tu kuacha runway ikalipuka.Mazingira ya kuanguka kwa hii ndege bado yanatia shaka sana.
Hata kama ilikuwa na hitilafu na ikarekebishwa kabla ya kuondoka kwake, kwanini kuwe na kukatika kwa mawasiano tena kwa ghafla sana?
Kikawaida inapotokea hitilafu katika ndege inapokuwa hewani marubani huwasiliana na kupeana taarifa mara kwa mara na viwanja vya ndege kuhakikisha kwamba usalama unakuwepo.
Taarifa za awali zilidai kuwa ni kufeli kwa engine lakini kilichotokea ghafla ni kukatika kwa mawasiliano. Ni engine failure ya namna gani inayoweza kusababisha kitu cha namna hiyo?
Victoireeeeee.......................Kama hujui acha kuropoka kuna firm inaitwa BEA "Bureau d'Enquêtes et d'Analyses pour la sécurité de l'aviation civile " Kama ulikuwa hujui hata Ethiopia walikataa kuwapa USA ile black boxes ya B737-800 Max. Hizo box zilipelekwa Paris na kusomwa na BEA. Muwage mnatumia Google kuacquire maarifa. Yaani iam very well informed internationale. Nikiamka asubuhi lazima nisome RT, Le Figaro, The Guardian. Acheni kusoma magazeti ya Shigongo. Yanawafanya muwe zero brain.
Tatizo wamezoea kusoma ijumaa sijui risasi. Wema afumaniwa sijui Diamond kikafika wapi.
Huyu jamaa kakurupuka kutoka usingizini. Watu gani Hao Iran aliowaua?Iran Kaua watu 17+ Wasio na Hatia, huyu ni Wa kutandikwa na Dunia Nzima