Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Naona "maximum pressure" imeanza kufanya kazi,Iran ameanza kutepeta.
... kalegea mapema hivyo! Mikwara mbuzi tu hamna kitu.
Hahahahahaha matusi ya nini tena Mullah?Inaonekana wairan huwa wana kukata nyuma maana unawashwa washwa sana kuwafatiria.
"Maximum Pressure"Hiyo ni strategy wewe, huoni Trump ana wakati mgumu kisiasa, hapo anapewa chambo ili aingie kichwa kichwa
Wairan ni wataalam wa chess za kidola
Washaona wanapasuka msamba,wamesanda.
Washaona wanapasuka msamba,wamesanda.
Since 1979 up 2 ss hamna msamba alochanika na hakuna msamba ato chanikaWashaona wanapasuka msamba,wamesanda.
Naona "maximum pressure" imeanza kufanya kazi,Iran ameanza kutepeta.View attachment 1215847