Technology ata ikiwa ya miaka 50's bado inafanya kazi japo lazika iwepo improvement....AK 47 imetengenezwa miaka hiyo lakini bado ipo to date..wakati IRAN ilipotengeneza attacking copters wamarekani walisema ni teck ya 50's baada ya kuzionesha wataalamu wa kijeshi wa Israel wakasema IRAN attaking copters are more better than US cobra na Israel anazo hizo cobra za US...so never underestimate IRAN kwanza leo wame lunch 2 indigeneuos HOVERCRAFTA na angalia ni nchi ngapi zenye uwezo wa kutengeneza hovercraft