tatizo la media kama cnn au fox news wanalazimisha hii story kua kubwa wakat ni kitu cha kawaida tu. boat la marekani limeharibika kwenye bahar ya iran. iran imewakamata na kuwasaidia kurudi kwao. uyo mtangazaji wa cnn ni kilaza kweli eti hakupenda wamerekani kupigishwa magoti wakat wapo kwenye territory ya iran...kuna media ni anti iran sana zinachukia kuona marekani na iran wame handle hii situation bila ugomvi wowote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.