Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,062
- Thread starter
-
- #61
Blaaa blaa blaa akitaka kuruka huyo si anaenda Oman atarukia huko kuliko kuzua uwongo. Israel hana control ya anga Iran vipi sa drones na Missiles zinaruka. Habari zenyewe kutoka Mossad au USA na UK unategemea nini tena. We huna akili kabisa
Danganya wajinga, hiyo ingeweza kuchukuliwa hata miezi sita iliyopita. Allah hajaweza kuwasaidia waje wake wakiwa duniani labda wakienda akhera ndio hupewa mizigo.Mlio sema Israel ana control anga tukawambia hamna lolote Missiles zinaruka. Sa hizi hapa fighter Jet za Iran zinaruka hebu nipeni hapo jibu labda zinaelekea kwenda piga Israel. Leo tena karibu mda huu
View: https://youtube.com/shorts/XrWkWX4PFjE?si=Bj_xmwJoeQl2RfY0
Wewe habari zako zinatoka chombo gani.Blaaa blaa blaa akitaka kuruka huyo si anaenda Oman atarukia huko kuliko kuzua uwongo. Israel hana control ya anga Iran vipi sa drones na Missiles zinaruka. Habari zenyewe kutoka Mossad au USA na UK unategemea nini tena. We huna akili kabisa
Mlio sema Israel ana control anga tukawambia hamna lolote Missiles zinaruka. Sa hizi hapa fighter Jet za Iran zinaruka hebu nipeni hapo jibu labda zinaelekea kwenda piga Israel. Leo tena karibu mda huu
View: https://youtube.com/shorts/XrWkWX4PFjE?si=Bj_xmwJoeQl2RfY0
How Israel Took Control of Iranβs Skies
The Israeli military said Monday that it can now fly over Tehran without facing major resistance.time.com
Mimi habari zangu nazitoa Al arabia channel broadcast kutokea UAE na ni ya Saud Arabia hawa wana msupport israel lakini wanaonyesha vipi Iran anampelekea kipondo Israel, Aljazeere, Almayadeen, Israel tv channel i24 hao wako Tela Aviv kabisa.Wewe habari zako zinatoka chombo gani.
Wako hoi haijafika hata siku 10 je waikenda mwezi hawa
Hao akina dada nana ndiyo wanainyoosha midume ya Ayatollah Bin Shetan allahWako hoi haijafika hata siku 10 je waikenda mwezi hawa
View: https://youtube.com/shorts/nIbeKcM0_Ug?si=U7S6dU8qk3XtAgvl
Iran kawatia adabu wanataka vita visimame mda aliye toa Trump 2 weeks wanasema this is too much hahahaHao akina dada nana ndiyo wanainyoosha midume ya Ayatollah Bin Shetan allah
View: https://x.com/perlinaino/status/1936317507146858514
Tukiwaambia Ayatollah ni jishetwani mnabisha; tukawaambia tumekipata kitabu chake anafundisha jinsi ya kut*mba vitoto vodogo vya kike mnabisha. Haya sasa Msunni mwenzenu anaelezea jinsi Ayatollah alivyo ki**mba kitoto cha kike miaka 4-5 hiviIran kawatia adabu wanataka vita visimame mda aliye toa Trump 2 weeks wanasema this is too much hahaha
View: https://youtube.com/shorts/NfFFGo66ORg?si=oQzvxEamAGehZcGB
Sio kila anaye jida Muislam ni Muislam hata kuna Bukhari orignal na Bukhari fake hahaha. We hukumuona yule mwanamke wa kiyahudi kilijifanya Muslam kule Iran alingia na French Passport na alihufadhi mpaa Qur'an kumbe ni myahudi na katumwa na Mossad.Tukiwaambia Ayatollah ni jishetwani mnabisha; tukawaambia tumekipata kitabu chake anafundisha jinsi ya kut*mba vitoto vodogo vya kike mnabisha. Haya sasa Msunni mwenzenu anaelezea jinsi Ayatollah alivyo ki**mba kitoto cha kike miaka 4-5 hivi
View: https://youtu.be/60MC3bVFG6s?si=NG0F8i9tyInEfIIZ
Sio kila anaye jida Muislam ni Muislam hata kuna Bukhari orignal na Bukhari fake hahaha. We hukumuona yule mwanamke wa kiyahudi kilijifanya Muslam kule Iran alingia na French Passport na alihufadhi mpaa Qur'an kumbe ni myahudi na katumwa na Mossad.
View: https://youtube.com/shorts/wTudJwW_iY8?si=B2bI_5H4STrChPru
View: https://youtube.com/shorts/dTm6T6HRnDY?si=9XGU7lJhbq3t1WZa
Tatizo ukipiga myahudi lazima akuletee kanga za uwongo