Nina Ofisi yangu hapa Mwanza ya Internet Cafe, hivi majuzi nimeanza kutumia Moderm ya Voda ambayo inasupply internet kwa ajili ya Computer zangu. Sasa Kati ya Computer 5 nilizonazo moja tu ndio ina connect na Inernet kupitia WIFi nyingine zilizobaki zinasoma WIFI na Kuconnect lakini huwezi kuingia kwenye Internet.
Yan Moderm ya router 4gLte, Yan computer ina connect na WIFI lakini haiwezi kuingia kwenye Internet, wakati computer yenzake iliyoconnect na WIFI hiyo inaingia kwenye Internet
Yan Moderm ya router 4gLte, Yan computer ina connect na WIFI lakini haiwezi kuingia kwenye Internet, wakati computer yenzake iliyoconnect na WIFI hiyo inaingia kwenye Internet