Waliovaa majoho enzo hizo unazoziita kuea koho lilikuwa na thamani ndiyo ambao wametuibia pesa kupitia ESCROW, EPA & RICHMOND...
Thamani ya elimu ishapotezwa sana na mawaziri madebe + serikali kiziwi!
Ntafurahiaje joho wakati najua wazi kuna foleni ya 10,000+ people unemployed?
Graduate at your own risk, no one will fight for your living...
Siku hizi joho ni biashara lazima litavaliwa kwa wahitimu ili tu watu waingize pesa.
Hivi huko majuu ambako wanavaa majoho kuanzia kindergarten ina maana huko nako hilo joho halina thamani?
Na hivi haya mambo ya kuvaa majoho tuliyatoa wapi?
Labda tuanzie hapa...kuvaa joho maana ake ni nini???
Mbona hata huko majuu kwenye elimu za ukweli hayo majoho huvaliwa kuanzia ngazi ya chini kabisa.
Kama tumeiga mifumo ya elimu zao sioni ubaya tukiiga hayo mavazi kwenye ngazi tofauti za elimu.
After all ni majoho tu. Cha muhimu zaidi ni elimu aipatayo mtu.
Tupe data mkubwa inawezekana concept yangu ni wrong ndo maana nataka tuelimishane