KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 259
Kwa Kweli nimekaa na nimetafakari sana kuwa siasa haina uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu hasa baina ya viongozi cha chama, lakini siasa hiyo hiyo inaweza kuleta uadui mkubwa miongoni mwa wananchi na chuki ikajengeka lakini si kwa viongozi.
Kwa mda mrefu tangu nianze kufatilia siasa na kujiunga na chadema nilijua kabisa adui mkubwa wa CHADEMA ni UFIDi na miongoni mwa mafisadi wakuu hapa nchini ni Lowassa, lakini ghafla bin vuu mtu tuliye tumia miaka nenda rudi kumuita fisadi lakini tulimgeuza nabii wa siasa within a one month hivyo naamini kuwa hata akina Zitto na Slaa one watasafishwa na CHADEMA hii.Adui yangu mkubwa hapa nchini ni CCM.
Kwa mda mrefu tangu nianze kufatilia siasa na kujiunga na chadema nilijua kabisa adui mkubwa wa CHADEMA ni UFIDi na miongoni mwa mafisadi wakuu hapa nchini ni Lowassa, lakini ghafla bin vuu mtu tuliye tumia miaka nenda rudi kumuita fisadi lakini tulimgeuza nabii wa siasa within a one month hivyo naamini kuwa hata akina Zitto na Slaa one watasafishwa na CHADEMA hii.Adui yangu mkubwa hapa nchini ni CCM.