Ipo haja ya Kuunda independent police commission

August

JF-Expert Member
Jun 18, 2007
8,399
4,058
Naona ipo haja ya kuundwa independent police commission , ambayo itakuwa in review matukio ya police dhidi ya raia , kwa sababu ni wao police wenye kujua rules of engagement. Na iwe na mamlaka ya kuwa adhibu au ku recommend ajabu kwa wahusika na report zao ziwe za wazi , ili kuepukana na tabia za police kwenda kinyume na rules za utendaji wa kazi au kutumia madaraka Yao vibaya dhidi ya raia au polisi mwingine mwenye cheo cha chini. Na pia kupunguza matukio ya kitaaluma kuingiliwa saana na WANa siasa , hivyo kuzalilisha kazi za Watu wengine au za kitaaluma.
 
Naona ipo haja ya kuundwa independent police commission , ambayo itakuwa in review matukio ya police dhidi ya raia , kwa sababu ni wao police wenye kujua rules of engagement. Na iwe na mamlaka ya kuwa adhibu au ku recommend ajabu kwa wahusika na report zao ziwe za wazi , ili kuepukana na tabia za police kwenda kinyume na rules za utendaji wa kazi au kutumia madaraka Yao vibaya dhidi ya raia au polisi mwingine mwenye cheo cha chini. Na pia kupunguza matukio ya kitaaluma kuingiliwa saana na WANa siasa , hivyo kuzalilisha kazi za Watu wengine au za kitaaluma.
Ni maoni yako.Muhimu watu watii sheria vinginevyo nguvu itumike kulazimisha watu kuzitii.MUNGU PEKEE WA KUABUDIWA.
 
Unachosema ni kweli, but ni ngumu sana kwa serikali kuweka commission kama hiyo, maana serikali iliyopo madarakani ili kuweza kutetea maslahi yake hutumia jeshi kudefend rulling party interest ,so kuwa na independent commission yenye rules zake hiyo ingekuwa ngumu kwa wanasiasa kutetea maslahi yao, na hii njia ilitumika toka enzi za ukoloni serikal kutumia jeshi kudefend interest zake, ndio maana kuna order toka juu ambazo askari hupokea without questioning any thing
 
Kati ya taasisi zinazoumiza vichwa ni hii inayoitwa Polisi. Iliwahi kuhojiwa kwa mfano, polisi ndio hao hao wakamata wahalifu, ndio hao hao wanaowahoji, kuwaweka lockup, kufungulia mashitaka, na ndio hao hao mashahidi muhimu dhidi ya watuhumiwa. Hivi wakiamua kufanya "chochote" (na wanafanya) nani atawazuia? Hii haikubaliki hata kidogo, kwa aina hii ya jeshi la polisi ni muhimu majukumu haya yatenganishwe. No wonder ukikutana na ka-trafiki huko wao ni vitisho tu visivyo na maana - ukifanya mchezo nitakushtaki - ndio kauli zao hizo. Wanajua fika wanaweza kujiandikia mashitaka wanavyotaka hata kama mtuhumiwa utashinda huko mahakamani lakini utakuwa umenyanyasika vya kutosha. Kwao kupoteza kesi sio issue; la muhimu wamekukomoa.

Nakuunga mkoto mleta mada; ni lazima kuwe na "checks and balances"; polisi wasiakabidhiwe mamlaka yote kana kwamba wao ni miungu hawakosei au hawaonei wananchi. Ni muhimu kuwe na chombo kingine huru chenye mamlaka kamili ya kisheria cha kuwa-monitor hawa jamaa. Vinginevyo kinajengwa kikundi fulani kiitwacho polisi ambacho matendo yake yanatia shaka sana na bahati mbali sana hakuna wa kuhoji.
 
Ngoja ccm ing' oke kwanza
Si kila Jambo ni la ccm au cdm au cuf nk , na haki au maendeleo haihusiani na Chama na wanao umia au kufaidika na kutokuwepo kwa Hiyo tume Huru ya kipolisi ni wa vyama vyote iwe cdm, ccm, cuf na asiye na Chama. Tunachotaka kujenga ni taasisi yenye kutenda haki na yenye uweledi.
 
Naona ipo haja ya kuundwa independent police commission , ambayo itakuwa in review matukio ya police dhidi ya raia , kwa sababu ni wao police wenye kujua rules of engagement. Na iwe na mamlaka ya kuwa adhibu au ku recommend ajabu kwa wahusika na report zao ziwe za wazi , ili kuepukana na tabia za police kwenda kinyume na rules za utendaji wa kazi au kutumia madaraka Yao vibaya dhidi ya raia au polisi mwingine mwenye cheo cha chini. Na pia kupunguza matukio ya kitaaluma kuingiliwa saana na WANa siasa , hivyo kuzalilisha kazi za Watu wengine au za kitaaluma.
Sehemu kubwa duniani kuna kikosi cha Internal police ila Tanzania sisi miaka 3 iliyopita tulianzisha aileweki Sijui ni dawati au ukaguzi Sijui ataa ,ila kwa America iki kitengo ni noma yaani police au kituo kizima kikijua wameripotiwa police wanaugua kwa kugwaya hakina samahani na mtu
 
Yaani haya yote ni baada ya mpuuzi malima kulala ndani na kuamkia mahakamani huku haamini amini yaani.

Hata wale waliokuwa wakilipuka kwa shangwe wameshindwa kuandamana naye mpaka polisi wakashinikize polisi.

Wazo lako ni zuri, ila hata hao wakaguzi wakiwepo, hawatakufurahisha sababu mtanzania ana kasumba ya kupenda kubebwa.
 
Yaani haya yote ni baada ya mpuuzi malima kulala ndani na kuamkia mahakamani huku haamini amini yaani.

Hata wale waliokuwa wakilipuka kwa shangwe wameshindwa kuandamana naye mpaka polisi wakashinikize polisi.

Wazo lako ni zuri, ila hata hao wakaguzi wakiwepo, hawatakufurahisha sababu mtanzania ana kasumba ya kupenda kubebwa.
Mimi sipo hapa kwa sababu ya kumtetea au kuhusisha Jambo hili na Malima au kumbeba yeyote, Bali na pigia upatu uweledi na utendaji wa haki ni kiangalia tukio la Zombe na mengineyo ambao police wamewazulumu wananchi, na kingine ni kuongeza utii na uweledi wa Polisi kwa kukumbushwa wajibu wao na kuadhibiwa wanapokosea
 
Back
Top Bottom