Ipigwe kura ya kutokuwa na imani na GNU

Ipigwe kura ya kutokuwa na imani na GNU

realznzrian

Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
20
Reaction score
2
Jussa ipigwe kura ya
kutokuwa na imani na
gnu mimi ni mkaazi wa mji
mkongwe, regardless
chama changu/au kama
sina chama.
Mwakilishi wangu jussa,
nataka upeleke baraza la wawakilishi mada ya
kutokuwa na imani na rais
shein na serikali ya umoja
wa kitaifa. Hivyo ipigwe kura ya
kutokuwa na imani na
shein pamoja na serikali ya
gnu.
Twende kwenye uchaguzi;
lakini suala la mipaka yetu kuingiliwa na tanganyika
hatulikubali. Eneo la
zanzibar libaki kuwa la
zanzibar. Masuala ya kiuchumi
hayamo kwenye muungano
(sababu kubwa ya kupeleka
ombi la kuongezewa mpaka
ni kukuza uchumi kwa njia
ya mafuta,gas na kuvua samaki; pia wameongezea
kisingizio cha usalama wa
piracy ya wasomali) kwa nini kura ya kutokuwa
na imani na shein:- tangu kuja kwake
madarakani amelirudisha
nyuma suala la mafuta
kwenye mjadala wakati
tulishalimaliza katika
muhula uliopita. Lengo lake tulitatue katika
ngazi ya muungano; sasa
muungano wameshampa
jibu hilo namna ya
kulitatua ni kuongeza
mpaka wa jamhuri wa muungano (baadae
watakwambia mafuta yamo
katika mpaka wa jamhuri
ya muungano, kwahivyo
mafuta ni ya muungano)
na wakati hili linaendelea serikali ipo kimya; haitoi
tamko tukaisapoti;
hii
inaonyesha yupo pale kwa
maslahi ya tanganyika. Kwa kumalizia jamhuri ya
muungano haina mipaka
kwa sababu si nchi (jamhuri
maana yake ni aina ya
utawala; kinyume chake ni
usultani/ukhalifa/ufalme/ nk). Nchi ni mbili zenye mipaka
yake; baharini huku
wenyewe ni zanzibar;
tanganyika haijawahi kuwa
na mpaka wa bahari
 
Realznzrian: kama huweze kumpelekea Jusa wako huu upupu basi peleka Nungwi hapa siyo mahala pake! Crap!
 
haya si maneno yangu ni maoni ya mwananchi wa mji mkongwe.wapuuzi nyinyi
 
haya si maneno yangu ni maoni ya mwananchi wa mji mkongwe.wapuuzi nyinyi
Wewe ndiye mpuuzi. Wenyewe walipiga kura, karibu 60% wakaikubali hiyo GNU, wewe mgogo mambo ya Zenji wayatakia nini? Omba kura kurudisha serikali ya Tanganyika.
 
mpuuzi wewe kwani hapa umeambiwa ndiyo jusa anapatikana? mlipiga kura wenyewe leo tena na kiherehere
 
Ondoa ujinga wako hapa tafadhali...huna hoja za msingi mtumwa we!
 
"tanganyika haijawahi kuwa
na mpaka wa bahar
"
Mkuu inamaana hata bahari ya Mtwara ni ya zenji na si Tanganyika?
Naona unatakiwa kurekebisha sentensi yako hii.
 
Back
Top Bottom